Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Yani check ulivyokuwa hauna hoja, umebaki kusema mbumbu...πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiona elimu ni gharama ,jaribu ujinga...Banza hakukosea...
Huwezi kuwa na elimu ukafananisha Zanzibar na temeke wewe ni mbumbumbu
 
Anabisha nini huyo!?
Temeke na Zanzibar hazina tofauti sana kama anabisha alete uthibitisho sio kutukana tu.
Wewe nawe ni wale wale Zanzibar ufananishe na temeke pole sana mbumbumbu
 
kwahiyo ulitaka na zanzibar wapate wakati wana rais na serikali yao? na ratial yake je? chukua watanganyika 58m ongeza wazenji 2m gawanya kwa kila mtu uone kama hautapata hiyo ratio, kwanza wanapata kingi sana.
Umeelewa kilichojibiwa au umerukia kwa mpauko wa hasira mkuu,

Unaniuliza mimi ndio nilileta swali? Afu unareply bila hata data za msingi
 
Je kwenye hayo mapato Zanzibar huwa wanakuwa wamechangia asilimia ngapi?
 
Zanzibar inajitegemea Kwa Mapato yake ,kinachotoka Bara kwenda huko ni 2% tuu na wakati Bara mnakomba 98% ya Mapato yanayotokana na Muungano zikiwemo zaidi ya Bilioni 400 ambazo TRA anakusanya Bado taasisi zingine kama uhamiaji ,Utalii nk.
Tuambiwe pia hiyo 2% ni sawa na kiasi gani na hiyo 98% kutoka Zenji ni sawa na kiasi gani ili tuwe na wigo mkubwa wa kujadili
 
We jamaa bwana.
Kwahiyo hawawezi wakala pesa zetu kizembeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kabisaa masta, yaani wanajifanyaga hawapendi Muungano, afu kdg tu wamedeka wanataka mgao wa fedha, mara bili ya umeme hawalipi, tukisema kitu ooh kwanza hatutaki Muungano..

Sasa washajichanganya
 
Anabisha nini huyo!?
Temeke na Zanzibar hazina tofauti sana kama anabisha alete uthibitisho sio kutukana tu.
Temeke imezungukwa na bahari pande zote..???
 
Hako kabwana mdogo hamna mtu yeyote anaejua sasa hivi kanataka nini na msimamo wake ni upi. Kapo kapo tu. Hata kenyewe hakajajijua kako upande gani na kanataka nini
 
Temeke imezungukwa na bahari pande zote..???
Sie hatuzungumzii kijiografia bali tunazungumzia kiupana wa mipaka na kiuzalishaji.
Sijui umeelewa mkuu!?
Tunazungumzia kiutendaji/kiuzalishaji.
 
Wacha porojo eleza wewe



Wewe kweli ni mbumbumbu unafananisha znz na temeke pole sana

Kule wanakwepa ushuru wakija bara wanakadiriwa Kodi halisi
 
Huwezi kuwa na elimu ukafananisha Zanzibar na temeke wewe ni mbumbumbu
Kwa uchumi,
Kwa Idadi ya watu
Kwa majengo
Kwa elimu
Kwa Miundombinu
Yani hakuna hata kipengele kimoja hapo ambapo Zanziba inaipita Temeke...

Jimbo watu 7,000 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kupenda vya dezo tu....
 
Huyu ni Msenge tu, sijawah mwelewa sijui ni Gongo au Majini yanamsumbua...
Mada zake ukizichimba anasimama kidini zaidi japo anajificha kwenye wingi wa hoja za hovyo.
 
Alivyo mbumbavu wala hasemi Tanesco inadai sh? Zanzimbar.Na wala hasemi ni wazanzibar wangapi wameajiriwa na serikali ya Tanganyika isivyo sawa.
 
Kwani Zito anamjibu Lisu? Kwani Zito kaanza Leo kutoa hizo takwimu?

CCM hawawezi kuzitoa maana ukweli ni kwamba zinawaelemea Wazanzibar na kufaidisha Wabara zaidi.
Kwani haujui kuwa Zitto ni kibaraka wa ccm au unadanganywa na hizo rangi za bendera??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…