Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

Wao zanzibar wanachangia asilimia ngapi kwenye revenue? Nadhani hata hiyo 2% ni uoendeleeo. Kwa population yao 1% inatosha.
 
Zanzibar inachangia kiasi Gani kwenye bajeti ya mambo ya muungano?
Mwinyi katika kitabu chake alisema aliibiwa vitu vyake vya ujenzi na waziri mwenzake na akamwambia arudi kwao Zanzibar. Kama waziri anaambiwa hivyo basi ni kazi sana
 
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.

Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.

Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19

Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?

Kwanini hamjibu hoja ya lisuu mnaleta vioja?
 
TRA ya Zanzinar imeshikilia zile nyenzo kubwa za mapato, halafu ZRB wakapewa wakusanye zile nyenzo ndogo ndogo za mapato.
Nilishuhudia live kuna hoteli fulani ipo Zanzibar mmiliki wa hoteli hiyo aliamua kubadilisha jina la hotel tu basi akaamriwa aende kubadilisha jina Bara.
 
Zi
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.

Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.

Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19

Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?

Zitto anawategemea sana wazazibar kuendesha chama chake Cha ACT bila wazanzibar hakuna ACT.
 
Kama haya anayoyasema Ndugu Zitto,basi ni KWELI kuna TATIZO..ameongezea kwenye HOJA za Mh Lissu..na msingi TUKAE chini,tujadiliane kwa UWAZI n UKWELI huku tukitanguliza MBELE Mama Tanzania,
 
Uyu dogo akili aliziacha baada ya kukutanishwa na kikwete

Hajawahi kuaminika tena
 
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.

Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.

Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19

My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19

Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?


Zitto kauza Chama kwa Wazanzibar sasa anawatumikia ....!!
 
Leta vyanzo vya mapato vya muungano then tuone upande upi unavyanzo vingi then tuanze kudadavua upande upi unaumia
 
Zito awaokote wasiojielewa.

Wale wasiojua:

Mikopo inachukuliwa na Tanganyika kwa jina la Tanzania. Na siku zote mkopaji ndiye anayedaiwa. Lakini kuanzia mwaka 2022 Zanzibar imekuwa ikipewa 20% ya mikopo hiyo huku Zanzibar ikiwa na watu 3% tu ya watu wote.

Kuanzia mwaka 2022, misaada ambayo imekuwa ikitolewa kwa Tanzania, Zanzibar imekuwa ikichukua 20% wakati idadi ya watu na ukubwa wa eneo la Zanzibar ni chini ya 4% ya nchi.

Makubaliano wakati wa Muungano, Zanzibar inastahili kupewa 8%, ambayo bado ilikuwa kubwa sana kulinganisha na kile wanachopata Tanganyika. Lakini sasa, kimya kimya imetoka kwenye 8% mpaka 20%. Wakati huo huo, bado kuna gharama nyingine kama umeme, Zanzibar imekuwa hailipii kwa maelezo kuwa mapato yake ni madogo!!
Share yao ya mikopo tangu muungano mmewapa!?..au hiyo 20% ndiyo wameamua kukata deni lao!?..ukila Cha mtu utalipa,mapato ya utalii zenji mnabeba
 
Lisu hajatoa hoja zaidi ya kuhubiri chuki na mgawanyiko.

Mbona Mkapa mlisema anauza Nchi,alikuwa ni Mzanzibari?

Tangu lini ubinafsishaji ukawa kuuza Mali?

Pili tangu lini kuhamisha Masai kuwatoza kwenye Hifadhi Ili kuilinda ikawa kufukuza watu? Maana wanaohamishwa Kwa staha na stahiki zote,kufukuza kunatokea wapi?

Hapo Kuna hoja au upunguani?

Mwisho uvunje Muungano Kwa maslahi ya nani? Ili kitokee nini hasa?
Majibu haya ulitakiwa umjibu lissu lakini huwa unajificha wakati mama wa watu anatemreshwa pwani samahani nimetumia lugha ya kimwambao zaidi!
 
Pia itakuwa busara tukisema na madeni tushare kwa pro-rata

Kudaiwa na zanzibar is not a point kama deni la nje ni tril 90 walelete madai yao yaoigizwe kwenye deni tukisha rekebisha muungano tutalipa tu
Kwa hiyo pesa muliokopa kujenga tanganyika walipe wazanzibari? Pole sana
 
Back
Top Bottom