Pre GE2025 Zitto Kabwe: Tume ya sasa ya Uchaguzi (NEC) inapaswa kujiuzulu ili kuruhusu kupatikana kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao wapya watapatikana kwa sheria gani?
Inashangaza, wabongo uwezo wetu ni mashaka sana. Yaani kubadili jina eti ni jambo la kupongezwa. Zito naye anakuja na kubadili watu, halafu humu anapongezwa. Wakati upatikanaji wa hao watu ni uleule
 
NENO moja tu kwa Zito ni kuwa ni MSALITI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…