Huyu naye hajitambui kuwa alishapuuuzwa na watanzania muda mrefu sana. Anapiga tu Makele kujifurahisha maana hakuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kumsikiliza huo ujinga. Huwezi ukapata barua ya utambulisho bila kupitia kwa mwenyekiti wa mtaa wako.huwezi ukaenda kwa mtendaji wa kata au mtaa au kijiji kupata huduma fulani bila kupitia kwa mwenyekiti wa mtaa kupata barua ya utambulisho. Huwezi pia kwenda kupata dhamana polisi au popote pale bila kuanzia huku kwa wenyeviti wa mitaa kupata barua za utambulisho.
Kwa ufupi ni kuwa huyo jamaa anajitekenya na kujichekesha Mwenyewe na wala hakuna wa kumsikiliza wala hata kumfuatilia ndio maana wananchi wanamdharau sanaaa.maana wanajua ni mnafiki ,kigeugeu,ndumila kuwili na mwenye matendo kama kinyonga.