johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa.
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?