Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,406
- 2,521
Kwani wasichana sio watanzaniaZitto aache unafiki hana mapenzi mema na taifa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wasichana sio watanzaniaZitto aache unafiki hana mapenzi mema na taifa hili
Kwahiyo wanaoisifia serikali siyo wazalendo?!
Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa.
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Source: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?
Hata Kangi aliisifia serikali.Kwahiyo wanaoisifia serikali siyo wazalendo?!
Ni sahihi sana maana ameangalia maslahi mapana ua klundi maalum ambalo kwa maoni yangu naweza kuliita about to extinct, zitto ameangalia mbali Sana zaidi ya Kile ambacho wengi wanafikiria maana watoto wa like wanakutana na changamoto nyingi sana kuelekea kuyatafuta maisha yao kwa hiyo wakitengwa kama wadhambi kwa sababu tu wamepata ujauzito itakuwa ni kukiuka maandiko yaliyopo kwenye mkatabaAkihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa.
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Source: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?
Kama watoto waliopitia madhila ya ujauzito watasaidika, Tanzania itakuwa imepunguza ujinga, umaskini, omba omba kwenye miji ya taifa hili, na watamkumbuka Kabwe kwa kuwapigania kuliko wewe mbinafsiYeye amefanya nini cha maana
Kwa nini umlipie nauli na sio kumpa maarifa ya kuipata hiyo nauli, hivi ndiyo mnawafanya vijana waone maisha magumu na waendelee kuwa watumwa wa ccm, wakiamini hakuna maisha nje ya ccm.Njoo
lumumba kesho nikupe kadi ya ccm. Nauli yako juu yangu
Chadema sera yenu ni nini katika hili?Amri ya mwenyekiti wa ccm kuhusu wanafunzi kupata mimba inatakiwa ifutwe ndiyo WB watoe mkopo full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe thibitisha kwanini Kangi siyo mzalendo?!
Zitto ameomba poo kiaina......ila kwa akili zenu za mbegembege hamuwezi kuiona point yake!Hapa ingekuwa kama ni Boxing fight Zitto VS Jiwe basi hii ni Technical knock out kapigwa Jiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Selasini wa Chadema juzi kaisifia serikali....... Yeye siyo mzalendo?!Hao sio wazalendo bali ni wajinga na walinda maslahi. Sasa hivi ndani ya nchi yetu, ni ngumu kutengenisha uzalendo na ujinga.
Ni sahihi. Serikali huingia, hutoka au hata kutolewa. Serikali inaweza kuwa mbaya au nzuri. Serikali inaweza kuwepo kwaajili ya maslahi ya Taifa au kikundi fulani. LAKINI Jamhuri ni takatifu wakati wote.Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa.
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Source: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?
Lakini toka mwanzo, kwenye taarifa ya mwanzo ya WB ilisema kuwa Mh. Zito na wanaharakati wa haki za binadamu, wameomba mkopo huo usitishwe mpaka Serikali itakapoweka wazi juu ya sera ya Elimu kwa wanafunzi wasichana wanaopata mimba wakiwa bado masomoni.Mbona amesalimu amri bwashee?!
Hajazuia mkopo bali ameomba maboresho ya andiko uwe unaelewa na wewe!
Wanaweza kuwa wazalendo au wasiwe wazalendo. Itategemea wanasifia Serikali kwa mambo gani? Mambo hayo yana maslahi kwa Jamhuri au hapana.Kwahiyo wanaoisifia serikali siyo wazalendo?!
Amefanya nn cha maana ambacho tumeona impact tayariKama watoto waliopitia madhila ya ujauzito watasaidika, Tanzania itakuwa imepunguza ujinga, umaskini, omba omba kwenye miji ya taifa hili, na watamkumbuka Kabwe kwa kuwapigania kuliko wewe mbinafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ishu ya Lugola imetoa funzo kubwa sana kwa Viongozi wanaojitambua. Kila mmoja atekeleze majukumu yake kwa mujibu wa sheria za nchi na si ktk kumsifu na kumpamba mwenye mamlaka za teuzi. Hata ikitokea umetumbuliwa basi wananchi watakuona kama shujaa wao.Wasaka tonge...hujamuona mwenzio Lugola