Ili aendelee na autocratic system yake ili baadae aongeze muda bila kupingwa.Kitu Magufuli anasahau au anafanya kusudi ni kwamba;Watanzania hawataki kubaguana kwa kutumia
Kabila
Dini
Ukanda
Uvyama
Sasa ninachokiona kwa kiongozi huyu anajitahidi kutugawa kwa kutumia vyama. Naona upinzani unatumia nafasi hiyo kutuunganisha,
Ninavyo ona mimi kwa Tanzania kutugombanisha kwakutumia vyama imegonga mwamba, labda polisi wabariki hili lakini najiuliza na nimekosa majibu nikuulize mgombea wa Polepole iwapo utabahatika kuwapata washindi wote watokane na chama chako lengolako nini?hapo baadae!
Huu ushauri mzuri sana.Kusema haitoshi, AJITOE ili jina lake LISIWEPO kwenye BALLOT PAPER.
Ccm watazigawa kura za Lisu na kumpa Membe ili ,ionekane kashindwa kihalali...
Zitto anajua Lissu ataambulia patupu!!! Anachofanya...ni kumpa coverage ya kutosha Lissu, ili mwisho wa siku Lissu apoke uenyekiti Mbowe na Lissu awe mwenhekiti wa chama. Kisha baadaye Lissu aungane na Zitto ku- merge Chadema na ACT!!Nadhani alishasema kwamba anamuunga mkono Lissu kugombea Urais?
Hahaha alijisahau au alifanya makusudi?😂Si Kishanuka wajameni,hawamtaki Tena tangu asimamage mbele ya hadhara na kusema CCM hoyeeee
Atakae mpigia Membe ni nani na wanachama wa AcT washaambiwa wampigie Lissu?Sawa kabisa. Lakini wamechelewa sana. Kwenye uraisi kuna kura zitapotea sana kwenda kwa Membe sababu jina litakuwepo.
Wamechelewa sana hawa kuungana.
Hilo jambo ni very tricky kwa sababu:-Aondoe jina kwenye karatasi za kupiga kura, ili wasituibie kura za Lisu kumpa Membe, ili ionekane kashindwa na membe!
Mbinu hizi sijui kama mnazielewa, utashangaa Membe ana 10% halafu Lisu 6% , Magufuli 80% na mtaambiwa membe alikuwa anakubalika zaidi.
Unajua kuna wapiga kura shule hawakuenda na uelewa mdogo pia.Atakae mpigia Membe ni nani na wanachama wa AcT washaambiwa wampigie Lissu?
Labda zihesabike kwake kwa kuiba ili kupunguza za Lissu but vinginevyo sidhani kama atapata kura hata laki moja
Ila naimani zitakuwa chache si za kiasi ambacho hata waliopanga huo mkakati (system) watakazozitegemea.Unajua kuna wapiga kura shule hawakuenda na uelewa mdogo pia.
Nakuambia yaani itatokea sana.
Japo na hiyo wizi uliosema kwamba Membe kapewa kura nao yawezekana mia kwa mia asilimia
Haramu... haitatokea tume kuondoa jina la BM Kwenye karatasi za kura.Kusema haitoshi, AJITOE ili jina lake LISIWEPO kwenye BALLOT PAPER.
Ccm watazigawa kura za Lisu na kumpa Membe ili ,ionekane kashindwa kihalali.
Jamani mnadhani kwanini CCM na NEC wanalazimisha wagombea waendelee kuwepo?!
NRA hawapigi kampeni, NCCR hivyo hivyo, DP wanamgombea urais afanyi kampeni, kwanini sasa wanashiriki?!
Mbinu hizi mzielewe, MEMBE ajitoe official na aondolewe kwenye karatasi za kupiga kura, huko ndio kumiunga mkono LISU sio vinginevyo.
Hiki ndicho utawala huu umefanya "ukabila na udini kwa mbali ila "Uvyama ni Aina ya ubaguzi ulioanzishwa na mamlaka hii na kwa Mara ya kwanza katika historia ya ubaguzi hii ni New Version na itabidi iingizwe na kuzungumziwa kwenye mitaala ya academics na watu wote wajue kwamba utawala huu ndyo innovator wa mfumo huu...Mtake mistake Scholars lazma waandike research kuhusu madhara ya mfumo huu na from there waje na Conclusion!!!Kitu Magufuli anasahau au anafanya kusudi ni kwamba;Watanzania hawataki kubaguana kwa kutumia
Kabila
Dini
Ukanda
Uvyama
Sasa ninachokiona kwa kiongozi huyu anajitahidi kutugawa kwa kutumia vyama. Naona upinzani unatumia nafasi hiyo kutuunganisha,
Ninavyo ona mimi kwa Tanzania kutugombanisha kwakutumia vyama imegonga mwamba, labda polisi wabariki hili lakini najiuliza na nimekosa majibu nikuulize mgombea wa Polepole iwapo utabahatika kuwapata washindi wote watokane na chama chako lengolako nini?hapo baadae!
Msajili aliwakomalia kweli kweli (in John's voice).Mbona hamkufanya jitihada wananchi wajue hili?
Hivyo hakuna kuungana mkono ni uongo, aachwe Membe afanye kampeni zake huko mtama.Haramu... haitatokea tume kuondoa jina la BM Kwenye karatasi za kura.
Historia ya chaguzi zilizopita inaonesha hivyo.
Meko ajiandae kisaikolojia.
Hiyo ni counter attacks,muda bado upoMbona hamkufanya jitihada wananchi wajue hili?