Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Kitu Magufuli anasahau au anafanya kusudi ni kwamba;Watanzania hawataki kubaguana kwa kutumia
Kabila
Dini
Ukanda
Uvyama
Sasa ninachokiona kwa kiongozi huyu anajitahidi kutugawa kwa kutumia vyama. Naona upinzani unatumia nafasi hiyo kutuunganisha,
Ninavyo ona mimi kwa Tanzania kutugombanisha kwakutumia vyama imegonga mwamba, labda polisi wabariki hili lakini najiuliza na nimekosa majibu nikuulize mgombea wa Polepole iwapo utabahatika kuwapata washindi wote watokane na chama chako lengolako nini?hapo baadae!
Hiyo ni counter attacks,muda bado upo
Weya izi kachero?Yes Zitto, umesomeka!! Haya ndiyo maneno watanzania wanataka kuyasikia kwa sasa!!
Kura za CCM ndio zitagawika maana BM kuna wahafidhina waliohama nae!!Hivyo hakuna kuungana mkono ni uongo, aachwe membe afanye kampeni zake huko mtama.
Haya matamko Zitto anayatolea Mpanda. Ni bora Membe ajitokeze mwenyewe hadharani na kujitoaMbona hamkufanya jitihada wananchi wajue hili?
ACT ni mbadala wa CUF. Mikoa ya kusini ina ufuasi mkubwa.Hivi kuna mahali nchi hii act ina ,, ufuasi mkubwa“ ? Na ni wapi huko? Na je ni kigezo gani kinatumika kwa maana nijuavyo mimi act ina Mbunge mmoja tu, sasa huo ufuasi mkubwa mnaouongelea ni upi?
ACT ni mbadala wa CUF. Mikoa ya kusini ina ufuasi mkubwa.
1. Usisahau kwamba ACT ya sasa ni pamoja na pande kubwa la CUF! Baadhi ya mikoa, hususani Lindi, Mtwara na Zanzibar bado kuna wafuasi wengi tu waliokuwa CUF na sasa wanaiunga mkono ACT, bila kusahau baadhi ya maeneo ya Dar es salaam!Hivi kuna mahali nchi hii act ina ,, ufuasi mkubwa“ ? Na ni wapi huko? Na je ni kigezo gani kinatumika kwa maana nijuavyo mimi act ina Mbunge mmoja tu, sasa huo ufuasi mkubwa mnaouongelea ni upi?
CUF ni wa upande wa pili wa sarafu iitwayo CCM.Ushahidi uko wapi kama act ni mbadala wa cuf? Kwa maana CUF bado ipo, ...
Suala la kujitoa nilishalifikiria lakini kwa sasa naona halitasaidia sana kwa sababu ile ile kwamba, kuna uwezekano mkubwa NEC wameshapa makaratasi, na hata kama zoezi halijakamilika, watasema tu wameshachapa ili mradi tu Membe asiondolewe kwenye karatasi za kupigia kura!Kwani Mgombea haruhusiwi kujitoa ?! Akasema anaona hana ushawishi hivyo kuamua kujitoa?!.
Yote uliyoeleza sawa lakini katafute overall general election results za 2015 utaona, kina Dovutwa na Ahmad Rashid wa ADC hata hawa ACT na Mugwila wao, walipewa kura kwa mtindo wa vote distribution na kumbakizia Magufuli na ccm percentage kubwa hili kuhalalisha ushindi wao.
Kujitoa na kutokuwepo kwenye ballot paper ndio njia sahihi ya kumuunga mkono LISU.
Naamini mawazo haya yamekuja baada ya kuona Membe anahutubia hewa wakati lisu anapiga nyomi la kutosha. Poleni, mmechelewa.Mbona hamkufanya jitihada wananchi wajue hili?
Kitu Magufuli anasahau au anafanya kusudi ni kwamba;Watanzania hawataki kubaguana kwa kutumia
Kabila
Dini
Ukanda
Uvyama
Sasa ninachokiona kwa kiongozi huyu anajitahidi kutugawa kwa kutumia vyama. Naona upinzani unatumia nafasi hiyo kutuunganisha,
Ninavyo ona mimi kwa Tanzania kutugombanisha kwakutumia vyama imegonga mwamba, labda polisi wabariki hili lakini najiuliza na nimekosa majibu nikuulize mgombea wa Polepole iwapo utabahatika kuwapata washindi wote watokane na chama chako lengolako nini?hapo baadae!
Hatari kaka kama watanzania tutakubali hiliIli aendelee na autocratic system yake ili baadae aongeze muda bila kupingwa.
Mpaka utakapoacha utegemezi ndipo utaelewa kuwa ulikuwa unakomenti ujinga!Pamoja na kuungana lakini bado hakuna impact yeyote.
Ninachoona ni wapinzani wameongeza kiwango cha malalamiko kuliko mapambano ya sera nzuri na zenye mvuto.
Kama isipofanikiwa nawatu hatutakiPolitics meaning: The activities assiciated with the governance of the country, and electoral politics is conducted to get a group which distributes resources and status.
Kwenye box la kura,Lissu atawakilisha wapinzani wote? Tumia akili.Yes Zitto, umesomeka!! Haya ndiyo maneno watanzania wanataka kuyasikia kwa sasa!!
Uchaguzi huu ndio kete ya kuyakataa hayo.. Walikuwa na uwakika na hili na walishaliandalia mazingira kuhakikisha linakuja kufanikiwa. Hakuna aliyetegemea kama Lissu angerudi, angepitishwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama walichotaka kukiua kuzima upinzani, pia hawakutegemea support aliyopata toka kwa wananchi na somo la uraia analolitoa kila akiwa anahutubia.Hatari kaka kama watanzania tutakubali hili
Hata kama sio wote ila yeye ndiye mwenye support kubwaKwenye box la kura,Lissu atawakilisha wapinzani wote? Tumia akili.
GoodKiongozi wa cha chama cha ACT-Wazalendo taifa Zitto Kabwe amesema endapo wananchi wa mkoa wa Katavi watawachagua viongozi wa upinzani watahakikisha wanaletea mabadiliko katiko sekta ya afya, maji na elimu.
Ameyasema hayo alipokua akizungumza na wananchi wa manispaa ya Mpanda katika uwanja wa Sikonge na kusema kuwa a endapo watapata ridhaa upinzani watahakikisha wanatatua kero za wakulima sambamba na kuboresha maisha ya watanzania.
Aidha amewaomba wananchi wa jimbo la Mpanda mjini kumchagua mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Rhoda Kunchela na kusema kuwa wao kama vyama upinzani wameona ni vyema kusimamisha wagombea wanaoweza kumshinda mgombea wa CCM.
Akizungumzia nafasi ya urais kiongozi huyo amesema viongozi wa upinzani wamekaa kwa pamoja na kuona ni vyema kumsimamisha mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Tundu Lissu.
Chanzo: Mpanda Radio