Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 16
Hili ndilo bunge letu na hawa ndio wabunge wetu.Akichangia hoja hiyo, Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, alisema kwa kosa hilo alilofanya Waziri ambalo ni la kudharau maazimio ya Bunge, wabunge wangeweza kuamua apelekwe gereza la Keko kwa siku saba.
``Alichokifanya Mheshimiwa kama tukiamua kuwa `serious` (makini), angekwenda Keko siku saba,`` alisema Kabwe huku akinukuu sheria ya madaraka na wajibu wa Bunge ya mwaka 1988.
Habari zaidi: Mzindakaya arejea upya,ampiga kombora Waziri
.....ndiyohiyo
Hili ndilo bunge letu na hawa ndio wabunge wetu.
Kongoli story ya 'Bunge Butu' kwenye google muone jinsi Bunge la Tanzania linavyoitwa Bunge Butu.
PASCO,
Unapoliita bunge letu BUTU,
Unalinganisha na bunge gani?
Naomba kusaidia hapa, anamaanisha bunge lenu!! jeezy!! Bunge lenu la TANZANIA ni butu!! get it into your head!
KILLMINATI,
Kama umeamua kusaidia, saidia kabisa.
Unalinganisha bunge la Tanzania na bunge gani ndipo useme kwamba ni BUTU?
USITOE HAO, kwani wao wapo nje?Nadhani hili ndo mojawapo la bunge la vilaza ktk dunia hii, believe me my man!! Ukitoa akina Zito, Slaa, Kilango, Mwakyembe, etc waliobaki ni maguluguja tu! Yaani hakuna pa kulifananisha, njaa inaua watu pale bungeni, hakuna lingine!!
Sorry kaka nilikosea kidogo, nimefanya masahihisho.
Thanks man
PASCO,
Unapoliita bunge letu BUTU,
Unalinganisha na bunge gani?
PASCO,
Unapoliita bunge letu BUTU,
Unalinganisha na bunge gani?
- Sisi wengine siku hizi tunali-appreciate bunge letu maana kama sasa mpaka Waziri Mkuu analazimishwa kuomba radhi, wakuu tumetoka mbali sana na hili bunge, I mean wanahitaji heshima japo kidogo!
``Alichokifanya Mheshimiwa kama tukiamua kuwa `serious` (makini), angekwenda Keko siku saba,`` alisema Kabwe huku akinukuu sheria ya madaraka na wajibu wa Bunge ya mwaka 1988.