Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 16
Akichangia hoja hiyo, Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, alisema kwa kosa hilo alilofanya Waziri ambalo ni la kudharau maazimio ya Bunge, wabunge wangeweza kuamua apelekwe gereza la Keko kwa siku saba.
``Alichokifanya Mheshimiwa kama tukiamua kuwa `serious` (makini), angekwenda Keko siku saba,`` alisema Kabwe huku akinukuu sheria ya madaraka na wajibu wa Bunge ya mwaka 1988.
Habari zaidi: Mzindakaya arejea upya,ampiga kombora Waziri
.....ndiyohiyo
``Alichokifanya Mheshimiwa kama tukiamua kuwa `serious` (makini), angekwenda Keko siku saba,`` alisema Kabwe huku akinukuu sheria ya madaraka na wajibu wa Bunge ya mwaka 1988.
Habari zaidi: Mzindakaya arejea upya,ampiga kombora Waziri
.....ndiyohiyo