Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

We ni mchaga bila shaka?na hapa ni mbege ndio zinakuongoza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zitto manyoo..
Yaani? Aiseee... and he has two balls. Aibu naona mimi aisee... like seriously? Kwamba procedures za mahakamani zinatakiwa kuescapiwa ama? Ama ndo anataka mbowe aonekane amekiri na kuomba msamaha? Manyoko kbs.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
YEYE AMEFANYA juhudi gani binafsi za (KUONDOA UKURUTU USONI) MWAKE ???🤣🙄😶
 
I am ur big fan[emoji91][emoji91]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kuna Spika alihijo mambo ya msingi lakini baadae akaomba radhi yakamkuta yaliyomkuta tena mbele ya hadhara, kama CDM na Mbowe wanajua hakuna hatia unaomba msamaha wa nini, kwamba Mbowe kashindwa kuwaambia wanasheria wake waombe msamaha mpaka amtume Zitto?
 
Apeleke tu unafiki wake kule. Yeye anataka avujishiwe mikakati ili afanye nini? Yeye si asubiri aone kama mbowe atatoka au hatoki?
 
Aisee hili lipo kweli kama ulivyosema?

Basi huyu jamaa ni bonge la snitch asiyefaa kuwa karibu na watu
 
Sisi chadema tunataka mbowe akae jela hadi siku tukishinda kesi,, hatuna haraka hata kesi ikichukua miaka 10,sawa tu [emoji1745]
 
Kwani Rais anaruhusiwa kuingilia uhuru wa mahakama? Au hao chadema wana ruhusa ya kuingilia uhuru wa mahakama?

Labda kuna ambalo hatulifahamu na ingekua vizuri kama bwana Zitto angetufahamisha
Huu ujinga hata Nelson mandela sijui kwanini alimkubalia kufanya maxungumzo na serikali aachiwe baada ya kufungwa jela,
Ilitakiwa mandela ashjkilie msimamo wake na abaki gerezani hata kwa miaka 200.. [emoji848]
 
Nadhani yeye binafsi ni mfuasi wa rais Samia.
 
Zitto anatafuta umaarufu kupitia jina la mbowe.
 
Reactions: Pep
Kosa la Zitto anachukulia masuala ya nchi aidha kidini sana au anayachukulia kijamii Sana. Anavyoongea ni wazi anakaa na waliomweka Mbowe ndani na wanampa masharti na kwa anavyoongea ni wazi yeye anajua kwamba Mbowe siyo Gaidi na amewekwa ndani Kwa sababu za kisiasa.

Ambacho Zitto ajajiuliza ni kwamba" akitoka Mbowe Kwa utaratibu huu anaotaka aoni kama Kesho atakamatwa Lisu ataitwa Gaidi watakaa na kusolve then keshokutwa atakamatwa Mbatia then. Itaendelea hivyo?

Kwanini Zito anaogopa kuwakemea wanaomtuma?Mbona enzi ya JPM akuwa hivi? Nini kimetokea ndani ya CCM anachoamini ni kizuri Kwa Mbowe?
 
Mara pap, Mbowe anasujudu mbele ya Mfalme, nimekosa mimi nimekosa sana ee mfalme nihurumie.
Mfalme ananyanyuka na kutoa rai, ondoka mbele ya macho yangu ewe gaidi mahali pekee unapostahili ni jera.
Hebu fikiria watanzania watamuonaje mbowe? Maana ili uombe msamaha unapaswa kukiri makosa yako, kama alivyo fanya Ndungai.
ajiulize kwanza yaliyompata ndungai ndio aje atuambie, kama nia ni nzuri kwa nini sharti liwe mbowe kuomba msamaha? Si ilitosha tu yeye kumuombea msamaha siku hiyohiyo mama angeelekeza utaratibu ufanyike mambo yakaisha.
Wabongo wa sasa sio wakudanganywa kitoto hivyo, kama Mbowe anataka kifo cha ghafra cha kisiasa ajaribu kuomba msamaha.
 
Zitto ni mnafiki na shetani mkubwa, CHADEMA wanazo mpaka taarifa za Zitto akichonga na maafisa wa serikali kuhakisha kesi inayomkabili Mbowe iishie kwa Mbowe kufungwa kimahakama. Ushahidi upo.
Mkuu acha kumzushia Zitto uongo....huku ni kumchonganisha na wafuasi wa CDM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…