Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Kwa kwe hii strategy ya Zitto kama ingetumika ingekuwa inahalalisha kesi ya Mbowe. After all, Maza alishasema tuache sheria ifuate mkondo wake na kuwa serikali ina ushahidi.

Zitto ajue kwamba kuna mambo unahitaji kutumia principles badala ya kucompromise. Hili ni mojawapo. Hata Mandela kama angecompromize mbona asingekaa jela miaka 27. Bora Mbowe aendelee kukaa jela kwa maslahi ya wengi huko mbeleni. Actually, Inawezekana Mbowe akawa anapata usingizi mzuri huko aliko kuliko Maza huko Magogoni.
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Zitto anapaswa kumuomba Rais ashughulikie waliompandikizia kesi hii Mbowe na sio kumuombea Mbowe msamaha.

Kumuombea Mbowe msamaha ni kuhalalisha kile anachotuhumiwa nacho,ni utoto na ujinga wenye lengo ovu sana kwa Chadema
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Zito nae kachoka kiakili Sasa mahakmani wanafanya nini.Lakini naomba niwape onyo wote wenye mamlaka mwisho wenu wa kuonea watu upo karibu.
 
Atulize manyanga aloachiwa na ...ake!!
Mbowe atashinda kesi na wanaodhulumu hakizake watazoa laana wao na familia zao!!!
For the time been zitonga atuambie tuu habari za mke wa filiku...
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118

Zitto ana maslahi gani kwa Mbowe. Mbona anataka kuchukua credit. CHADEMA waombe msamaha kwa sababu gani?. Yani CHADEMA wakampigie magoti Rais Samiah Halafu wameambieje?.
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118

Aliomba msamaha Ndugai Tena mbele ya camera lakini hakusamehewa na akaongezewa mipasho. Mimi nashauri Ni Bora tupambane mahakamani mpaka Rufaa kuliko kuwapigia magoti CCM watawasimanga chadema mpaka wafe kisiasa.
 
Kuna jambo moja nina uhakika nalo..wengi wanamzungumzia ZZK kiushabiki....Zitto anajua kijacho! Anajaribu kunusuru jahazi..unfortunately hapewi support! Muda ni daktari mzuri sana!

Kama support Ni kuwapigia magoti CCM na kuwaomba msamaha, Hilo haliwezekani let nature take it's course. Halafu suala lenyewe lipo mahakamani, kwani aliyepeleka kesi mahakani Ni Mbowe au serikali?.
 
Chadema hatuna uwezo kisheria wala kinguvu wa kumtoa Mbowe na tunaamini pia hakuna mwanadamu yeyote mwenye uwezo huo isipokua Taasisi inayoitwa Mahakama. Sasa huyu zito awatume hao wahariri wakaiulize mahakama na sio viongozi wa chadema.
 
Kuna jambo moja nina uhakika nalo..wengi wanamzungumzia ZZK kiushabiki....Zitto anajua kijacho! Anajaribu kunusuru jahazi..unfortunately hapewi support! Muda ni daktari mzuri sana!
Unajua mtego anaotengeneza Zito kwa Mbowe ..akikubalia kuomba msamaha Mbowe itakula kwake kumbuka watawala wametafuta kwa miaka mingi inatakiwa ifahamike tu ukiamua kuwa mwanasiasa serious Africa Jela ni sehemu yako unless uwe opportunity kama akina Zito wanaoamini Serikali itawasaidia kujenga chama chao
 
Hichi kiloandikaa hapa hakina uhusiano na aliyoyasema Zitto leo kwenye kikao na wahariri. SIJUI KWA NINI MWANDISHI KAAMUA KUANDIKA ambayo hayakusemwa.
Kuhubiri haki na kusimamia haki ni vitu TAFAUTI sanaaa
Hebu eleza ukweli
 
Sisi chadema tunataka mbowe akae jela hadi siku tukishinda kesi,, hatuna haraka hata kesi ikichukua miaka 10,sawa tu [emoji1745]

Ingekuwa CHADEMA haiitaki Mbowe akae ndani wangeweka mawakili wanaopambana Kila siku?.
 
Zitto ni mnafiki na shetani mkubwa, CHADEMA wanazo mpaka taarifa za Zitto akichonga na maafisa wa serikali kuhakisha kesi inayomkabili Mbowe iishie kwa Mbowe kufungwa kimahakama. Ushahidi upo.

Pia Zitto aache uongo, Mbowe hajamtuma mtu mwingine yoyote kumtafutia msamaha wa kutoka jela. Mambo yote ya Mbowe yanasemewa na yeye mwenyewe Mbowe, Familia yake, Viongozi wa Chadema au Mawakili wake, na wote hao wamekuwa na msimamo unaofanana.

Zitto aiche Chadema na mambo yake, aendelee na siasa zake za kuilamba viatu CCM na serikali ya Mama Samia.
Ni mpmbavu sana
 
CHADEMA Ina kazi Sana. Babu duni na Zitto baada ya kuwauza ACT kwa CCM wanataka kutumika kuimaliza CHADEMA kwa ccm. Yani Mbowe akubali kuomba msamaha kwa Samiah mbona itakuwa sherehe ya mwaka kwa CCM. Kwanza msamaha utahalalisha mashtaka na serikali itaiwekea masharti CHADEMA kufanya siasa au hata kuifuta.
 
Mara pap, Mbowe anasujudu mbele ya Mfalme, nimekosa mimi nimekosa sana ee mfalme nihurumie.
Mfalme ananyanyuka na kutoa rai, ondoka mbele ya macho yangu ewe gaidi mahali pekee unapostahili ni jera.
Hebu fikiria watanzania watamuonaje mbowe? Maana ili uombe msamaha unapaswa kukiri makosa yako, kama alivyo fanya Ndungai.
ajiulize kwanza yaliyompata ndungai ndio aje atuambie, kama nia ni nzuri kwa nini sharti liwe mbowe kuomba msamaha? Si ilitosha tu yeye kumuombea msamaha siku hiyohiyo mama angeelekeza utaratibu ufanyike mambo yakaisha.
Wabongo wa sasa sio wakudanganywa kitoto hivyo, kama Mbowe anataka kifo cha ghafra cha kisiasa ajaribu kuomba msamaha.
Kama mbowe anafahamu yeye ni gaidi akiri kosa...hatumzuii. ila kama si gaidi atuachie sisi tunamtoa jela mahakamani
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118

Dogo ameshatoka kwenye level ya ujinga na kuingia kwenye level ya upumbavu.

Kila mpenda haki anataka Rule of Law. Halafu anatokea ZZK na ukigeugeu wake anataka Rais atumie presidential pardon power kwa mtu ambaye hajatiwa hatiani na mahakama. In other words, this loony wants CHADEMA to ask the President not to uphold the Rule of Law that CHADEMA itself craves! What a nonsense?
 
Back
Top Bottom