Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Waombe msamaha kuwa Mbowe asamehewe kwa màkosa ya ugaidi au? Zito ana agenda ya siri!
 
Yani huyu jamaa ni kama ametumwa kumwambia jaji mfunge Mbowe ni gaidi..
Anatumika na mfumo vibaya sana..
Huyu ni adui mkubwa wa haki
Anaendekeza tumbo hadi aibu..
 
Kwani sheria ya uanzishaji/katiba ya/za chama/vyama ya/vya siasa inasemeje kuhusu nafasi ya Mwenyekiti mwenye tuhuma kuendelea na nafasi yake?
Ni vizuri kujiepusha kumtaja taja/kufanya utetezi ambao pengine unaweza kuathili maamuzi ya kesi iliyoko mahakamani.
 
Zitto kabwe kiongozi wa chama cha ACT wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe Jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa Jela

Zitto anasema kuwa chadema wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa chadema wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe Jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
JamiiForums-1571049145_180x380.jpg
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe aiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
This man is a stupid traitor!
 
Bado najiuliza zitto kwa nini anakomaa kusema mbowe aombewe msamaha na si kulaumu waliompa kesi? Au zitto anaamini mbowe ni gaidi?

Anataka kutumia hili sakata la Mbowe kama mtaji wa kisiasa. Ana makubaliano na ccm ili kuhadaa umma kuwa anafanya siasa safi, wakati huohuo ni kumpandisha chat chief Hangaya kuwa ni mtu mwenye upendo na huruma. Halafu baada ya hiyo movie Zito alipwe pesa nyingi, sambamba na chama chake kupewa upendeleo na dola dhidi ya CDM. Lengo hapa ni kuchafua taswira ya CDM, ACT wafanywe ndio mbadala wa CDM kwa kufanya siasa zinazotakiwa na CCM.
 
Kwanini chadema wakiambiwa ukweli huwa wanafura sana?
 
Sisi chadema tunataka mbowe akae jela hadi siku tukishinda kesi,, hatuna haraka hata kesi ikichukua miaka 10,sawa tu [emoji1745]

Miaka kumi michache, hata hiyo kesi ifanyike miaka 100 ni sawa tu, lakini huo upuuzi uitwao msamaha hapana. Msamaha wataomba wasiojua haki zao.
 
YEYE AMEFANYA juhudi gani binafsi za (KUONDOA UKURUTU USONI) MWAKE ???[emoji1787][emoji849][emoji55]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Mzee Bulembo akikusikia unamnanga mkwe wake, mtaonana wabayaa[emoji1787][emoji1787]
 
Zitto punguza shobo basi
Jamaa ni mfano hai wa wanasiasa wachumia tumbo.
Plea bargain anayotaka mbowe afanyye ni very controversial kwa kesi ya Ugaidi ,maana itamfanya mbowe aadmitt kuwa alifanya ugaidi hata kama hakuhusika na records zitamtambua hivyo for the rest of his life .mtu makini na innocent hawezi kukubali hili lifanyike .
Nilitegemea Zitto atahakikisha mahakama inatenda haki ili kama mbowe ameonewa awe huru kwa mujibu wa sheria .
 
Kifupi anachofanya ayatollah zitto ni kuhamisha mada na mdundo wa mgogoro ndani ya.act kwa kuitumia chadema
 
Jamaa ni mfano hai wa wanasiasa wachumia tumbo.
Plea bargain anayotaka mbowe afanyye ni very controversial kwa kesi ya Ugaidi ,maana itamfanya mbowe aadmitt kuwa alifanya ugaidi hata kama hakuhusika na records zitamtambua hivyo for the rest of his life .mtu makini na innocent hawezi kukubali hili lifanyike .
Nilitegemea Zitto atahakikisha mahakama inatenda haki ili kama mbowe ameonewa awe huru kwa mujibu wa sheria .

Defendant akitaka kufanya plea bargaining anafanya na prosecutors, sio President!
 
Back
Top Bottom