Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Kwamba Zitto haoni sio tu jitihada za kumtoa Mbowe jela, bali harakati nzima za kudai haki zinazofanywa na CDM tangu 1992?. Ni kitu gani bado CDM kama chama hawajafanya ili kuikomboa TZ?
Zito ajue Mbowe ana ndugu wa kuzaliwa, mke, watoto (watu wazima), wana ukoo na Nk. Ambao wana uamuzi wa kuchukua hatua nzuri kabla hata ya chama chake.
 
Hata mimi simpendi ati
Na ndio anafanyaga nisiamini upinzani,,niendelee kula mbogamboga.
"Tumekabidhi nchi mikononi kwa washamba na malimbukeni"

Nyepesi Kabwela, Sep 20, 2017

24e5774fac8e44079171d8e081a4cf9a_18.jpeg
 
Hakuna kuomba msamaha kwa kesi la kutengeneza, na Zitto badala ya kushambulia wabambikaji anashambulia CHADEMA, Zito kweli kaishiwa anajitia aibu tuu, njaa kitu cha ovyo sana
 
Wakati yeye mwenyewe🙂
"Mwezi uliopita nikiwa mazikoni Mkuranga nilikutana na kijana aliyetumwa na Magufuli kwenda kuchoma moto mikorosho iliyopo kwenye ardhi yangu huko Mtwara.

Alikuja kuniomba radhi kwa tukio lile. Akanieleza pia kuwa nyumba yangu hapa kigoma ilichomwa moto na hao hao. Nilimsamehe"


Nyepesi bwana 🤣🤣
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

=========

Zitto Kabwe amesema:

"Sakata la Freeman ni moja kati ya vitu vinavyoniumiza sana, Freeman amenilea, ninavyomuona yupo jela simuoni kama Mwenyekiti wa CHADEMA, namuona kama Kaka yangu, nimefanya jitihada kuhakikisha anatoka Jela na kila nilichofanya kina ruhusa ya Mbowe, nimeenda Jela na nimeongea nae kumuambia nataka kufanya hivi akaniambia fanya"

"Wao wanamuona Mwenyekiti wao yupo Jela Mimi namuona Kaka yangu yupo Jela huo ndio utofauti, Wahariri waulizeni wenzetu wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe nje ya Jela, Mimi naamini tulichofanya Dodoma (kumuomba Rais Samia amsamehe Mbowe) isingeleta kelele zilizopigwa, leo tungekuwa na Mbowe nje, naamini hivyo"
Kwa hiyo Zitto anatakachadema wakavu je Gereza ili wamtoe MBOWE?
 
"Mwezi uliopita nikiwa mazikoni Mkuranga nilikutana na kijana aliyetumwa na Magufuli kwenda kuchoma moto mikorosho iliyopo kwenye ardhi yangu huko Mtwara.

Alikuja kuniomba radhi kwa tukio lile. Akanieleza pia kuwa nyumba yangu hapa kigoma ilichomwa moto na hao hao. Nilimsamehe"


Nyepesi bwana 🤣🤣
"Mwezi uliopita nikiwa mazikoni Mkuranga nilikutana na kijana aliyetumwa na Magufuli kwenda kuchoma moto mikorosho iliyopo kwenye ardhi yangu huko Mtwara.

Alikuja kuniomba radhi kwa tukio lile. Akanieleza pia kuwa nyumba yangu hapa kigoma ilichomwa moto na hao hao. Nilimsamehe"


Nyepesi bwana 🤣🤣
Mjinga tu
Kwanza hata mikorosho hakua nayo huko mtwara.

Magufuli aache kuchoma nyumba za wanasiasa wapinzani wa kweli akina Mbowe eti aende kuchoma nyumba yake Kigoma!
 
Mjinga tu
Kwanza hata mikorosho hakua nayo huko mtwara.

Magufuli aache kuchoma nyumba za wanasiasa wapinzani wa kweli akina Mbowe eti aende kuchoma nyumba yake Kigoma!
"Najuta kuzaliwa Tanzania"

Nyepesi Kabwela; 11 May 2017
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

=========

Zitto Kabwe amesema:

"Sakata la Freeman ni moja kati ya vitu vinavyoniumiza sana, Freeman amenilea, ninavyomuona yupo jela simuoni kama Mwenyekiti wa CHADEMA, namuona kama Kaka yangu, nimefanya jitihada kuhakikisha anatoka Jela na kila nilichofanya kina ruhusa ya Mbowe, nimeenda Jela na nimeongea nae kumuambia nataka kufanya hivi akaniambia fanya"

"Wao wanamuona Mwenyekiti wao yupo Jela Mimi namuona Kaka yangu yupo Jela huo ndio utofauti, Wahariri waulizeni wenzetu wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe nje ya Jela, Mimi naamini tulichofanya Dodoma (kumuomba Rais Samia amsamehe Mbowe) isingeleta kelele zilizopigwa, leo tungekuwa na Mbowe nje, naamini hivyo"
Kwa hiyo Zito anataka kutuambia kuwa aliambiwa kuwa haachiwi kwa vile watu walipiga kelele? Huo uhakika wa kuwa watu wasingepiga kelele angekuwa nje anautoa wapi?

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga kuufata ushauri wa Zito.

Kama kuna mahakama sasa raisi anaingiaje hapo, basi itakua ni kasumba kwamba kesi za wanasiasa kuamriwa na raisi moja kwa moja, na hapo ni kukiuka katiba mnayoipigania kua ifuatwe.

Zitto hayuko sahihi, wacha inyeshe tujue panapovuja.
 
Kwa hiyo Zito hata haoni jitihada za mawakili kuwa outshine Mashahidi na kuonesha matundu ya ushahidi wao kuwa ni jitihada za kutaka kumtoa? Hili ni jambo la kisheria na mapambano ya kisheria yanaendelea, yeye kama anaona mdomo wake nje ya mahakama unatija kwa alivyoomba siku ile anhshatoka basi. Anataka mawakili wakimbie mahakama halafu watu waje kuongea tu na kulialia nje basi kesi iishe? Hili jambo liende kama lilivyo na litakuja kuwa rejea kwa vizazi vingi vijavyo.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

=========

Zitto Kabwe amesema:

"Sakata la Freeman ni moja kati ya vitu vinavyoniumiza sana, Freeman amenilea, ninavyomuona yupo jela simuoni kama Mwenyekiti wa CHADEMA, namuona kama Kaka yangu, nimefanya jitihada kuhakikisha anatoka Jela na kila nilichofanya kina ruhusa ya Mbowe, nimeenda Jela na nimeongea nae kumuambia nataka kufanya hivi akaniambia fanya"

"Wao wanamuona Mwenyekiti wao yupo Jela Mimi namuona Kaka yangu yupo Jela huo ndio utofauti, Wahariri waulizeni wenzetu wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe nje ya Jela, Mimi naamini tulichofanya Dodoma (kumuomba Rais Samia amsamehe Mbowe) isingeleta kelele zilizopigwa, leo tungekuwa na Mbowe nje, naamini hivyo"
Zitto ana akili za ziada., nimefahamu sana, "alienda jela na kumshauri Mbowe kama Mbowe kumuombea msamaha kwa rais na Mbowe alibariki" nadhan hapa ndio pa kushika na ndipo pa kuanzia na kwa kauli hii sijaona undumila kuwili wa Zitto kwenye hili na babu duni alisema wanaofanya Mbowe aendelee kukaa gerezani wako ulaya wanakula kuku., Zitto ameona hii kesi itam-cost sana anayemwita kaka yake. kuna wakati una sarenda kumdhibiti adui kwa njia nyengine.

Chadema mawazo ya tundu lissu siku zote ndio msimamo wa chama chao, lakini tundu lissu kuna wakati anakwanga sana kwenye issue za kisiasa na tundu lissu sio mzuri sana kwenye siasa yeye ni mwanasheria tu, Ndio mana kama mulifuatilia maoni ya Tundu Lissue kuhusu sakata la Ndugai hivi karibuni alitofautiana sana na wenzake ambao ni wazuri kisiasa akina Mchungaji Pita Msigwa na Heche
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

=========

Zitto Kabwe amesema:

"Sakata la Freeman ni moja kati ya vitu vinavyoniumiza sana, Freeman amenilea, ninavyomuona yupo jela simuoni kama Mwenyekiti wa CHADEMA, namuona kama Kaka yangu, nimefanya jitihada kuhakikisha anatoka Jela na kila nilichofanya kina ruhusa ya Mbowe, nimeenda Jela na nimeongea nae kumuambia nataka kufanya hivi akaniambia fanya"

"Wao wanamuona Mwenyekiti wao yupo Jela Mimi namuona Kaka yangu yupo Jela huo ndio utofauti, Wahariri waulizeni wenzetu wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe nje ya Jela, Mimi naamini tulichofanya Dodoma (kumuomba Rais Samia amsamehe Mbowe) isingeleta kelele zilizopigwa, leo tungekuwa na Mbowe nje, naamini hivyo"
Kama binadamu, Mtanzania Mzalendo, sina shida na jitihada za Zitto kumtoa FAM gerezani. Naomba hili lifanikiwe huku nikiamini kuwa Kaka yangu FAM SIYO GAIDI
 
Back
Top Bottom