Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

hakika mbowe angekuwa nje tatizo hao wanao amini wanaweza kutunishiana misuli na serikali ndiyo shida
 
Zitto Leo unaamini Connection yako na Rais Samia itaweza kumtoa Mbowe Gerezani..??? Na hio ndio unaita juhudi.
 

Anaota ndoto na mwendelezo wa ndoto ni huu hapa:



Kama si ndoto basi ni ugonjwa usiokuwa na tiba.

Hiiiiii bagosha!
 
Zitto amewazidi akili wanasiasa wengi wa upinzani ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…