Zitto Kabwe; Wananchi hawana furaha

Zitto Kabwe; Wananchi hawana furaha

Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Imeandikwa katika maandiko matakatifu "Mungu hakutuweka duniani kwa hasira zake" kwahiyo siku zote Mungu anataka tuishi kwa furaha na amani,ila maovu yetu yanazid kutuweka mbali na ahadi zake.
 
Zitto anapigania tumbo lake

Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu

Tunakula magimbi tuna furaha na amani

Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Kila mtu anapigania tumbo kuanzia kaka mkuu mpaka kiongozi wa mtaa, wote wanagombea matumbo yao. Hayo mengine ni ziada baada ya kushiba kwa sababu wasingekuwa wanalipwa pesa nyingi wasingegombea nyadhifa walizo nazo
 
Watu mnajua kupenda kitu asee, yaani hata kikionekanaje bado mtatafuta maneno ya kuonesha hapana shida
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.

Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zito pambana na hali yako sisi wananchi tuna Amani na furaha tele


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom