Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Embu nipishe mie nisije nikakupiga mbata za maanaYana bei nzuri tu Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu nipishe mie nisije nikakupiga mbata za maanaYana bei nzuri tu Mkuu
Imeandikwa katika maandiko matakatifu "Mungu hakutuweka duniani kwa hasira zake" kwahiyo siku zote Mungu anataka tuishi kwa furaha na amani,ila maovu yetu yanazid kutuweka mbali na ahadi zake.Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.
Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?
Kila mtu anapigania tumbo kuanzia kaka mkuu mpaka kiongozi wa mtaa, wote wanagombea matumbo yao. Hayo mengine ni ziada baada ya kushiba kwa sababu wasingekuwa wanalipwa pesa nyingi wasingegombea nyadhifa walizo nazoZitto anapigania tumbo lake
Sisi Wananchi tupo shambani tunapambana na msimu
Tunakula magimbi tuna furaha na amani
Labda anawazungumzia Wananchi wa Twitter ambao hawafiki hata 0.1% ya Watanzania
Wewe ndiyo una furaha my frnd. Mimi na wezangu tunayo Sana“Wananchi hawana furaha, hawana amani, wamejaa hofu, hawawezi kukaa kwa kukosa furaha muda wote, ndio maana tunasema kazi na bata, watu wafanye kazi wale na bata” @zittokabw
View attachment 1282496
Mungu hakutuweka hapa Duniani ili tuwe na ,, furaha“ hata ukiangalia cinema za Yesu hakuna mahali ambapo niliona Yesu akicheka cheka hovyo na kula bata kwa furaha, Yesu alikuwa anajua maisha ni magumu ndo maana hakuwa na ,,furaha“ bali alikuwa anajitahidi kujituma kupunguza matatizo na siyo kucheka cheka upuuzi eti furaha huku ukiiba fedha za Wananchi.
Maisha ni magumu ni mtu low IQ tu ndo anaweza kuwa na ,,furaha“ Dunia hii, furaha ya nini wakati najua muda wowote nakufa, naweza ugua, au kupoteza girlfriend wangu, Mzazi wangu kaambiwa ana saratani isiyotibika, sasa furaha inatokea wapi?