Zitto Kabwe: Watu wapo huru kwa sasa, hawaogopi kuzungumza

Zitto Kabwe: Watu wapo huru kwa sasa, hawaogopi kuzungumza

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Kiongozi wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe alikuwa kwenye kipindi cha Tv ndani ya Clouds TV asubuhi ya leo Aprili 11, 2022 amezungumza mambo mengi ya kisiasa, haya ni baadhi ya yale aliyozungumza kwenye interview yake hiyo:

Amesema mazingira ya kisiasa Nchini Tanzania yamebadilika na kuna uhuru sasa hivi.

“Watu wako huru kuzungumza hawaogopi chochote kama kutekwa, kushtakiwa na tutumie hii nafasi ya uhuru kuzungumza tukae kama viongozi tuzungumze..

“Inawezekana kama viongozi tuna tofauti zetu za kibinafsi au kivyama, inatakiwa hizo tofauti uziweke pembeni na kuikabili changamoto iliyopo mbele na tuitumie hii nafasi vizuri,” Zitto.

KUHUSU TUME HURU YA UCHAGUZI
"Tuweke mazingira ambayo tume itakuwa huru na kuna mazingira ambao unaweza kubadilisha baadhi ya vifungu vya katiba. Mimi sio mpenzi sana wa kuweka viraka kwenye katiba nisigependa tuifumue katiba.

KUHUSU KATIBA MPYA
“Nisingependa tuifumue katiba wakati tunakwenda kwenye katiba mpya yenyewe hasa kwa bunge hili ambalo tunalo sasa hivi ambao 97% ya wabunge wanatoka chama kimoja."

Source: Clouds TV
 
Watakula kuzungumza hivi zito huwa anakili timamu kweli , maisha yanapanda kila dakika yeye anawaza siasa na kikutano

USSR
 
... hakuna la kujivunia hapo! Bila mifumo imara na thabiti kuhakikisha uhuru wa wananchi unalindwa; kuhakikisha demokrasia inashamiri ni upuuzi mtupu! Tatizo la nchi hii ni kutegemea hisani za watawala badala ya haki za kikatiba na kisheria.

Leo Samia anasifiwa (kwa kiasi chake), kesho akiibuka "mwehu" atatumaliza! Let's seek for permanent solution badala ya "hewala bwana".
 
Hawa wanasiasa wa Tanzania hawa! alichozungumza kwenye mahojiano ni tofauti kabisa na anachoandika kwenye mitandao ya jamii hasa Twitter!
 
Hajatetea madudu ya swahiba wake January kweli huko..
 
Beans NGOGWE anasikitisha sana,kwa Sasa hata akigombea ufiwani kule MWANDIGA hawezi kupita,wameshamjua ni

20220130_104611.jpg
 
Ndugu yangu Zitto kuendana Umri wako umetukosea sana ss ambao tunatakiwa kuiga mfano wako.
Sasa kwako nitajifunza nini kwani mvumilivu hula mbivu kumbuku kutumika kwako kuko wazi kwa sasa.
Hivi umeshajiuliza juu ya Wazanzibar kwani usijui utawaambia nini kumbuka siasa za Wazanzibar ni tofauti na Bara.
Najua huku upo ila umefeli vibaya sijui team inakuonaje hasa vijana
Harakati njema
 
Kiongozi wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe alikuwa kwenye kipindi cha Tv ndani ya Clouds TV asubuhi ya leo Aprili 11, 2022 amezungumza mambo mengi ya kisiasa, haya ni baadhi ya yale aliyozungumza kwenye interview yake hiyo:

Amesema mazingira ya kisiasa Nchini Tanzania yamebadilika na kuna uhuru sasa hivi.

“Watu wako huru kuzungumza hawaogopi chochote kama kutekwa, kushtakiwa na tutumie hii nafasi ya uhuru kuzungumza tukae kama viongozi tuzungumze..

“Inawezekana kama viongozi tuna tofauti zetu za kibinafsi au kivyama, inatakiwa hizo tofauti uziweke pembeni na kuikabili changamoto iliyopo mbele na tuitumie hii nafasi vizuri,” Zitto.

KUHUSU TUME HURU YA UCHAGUZI
"Tuweke mazingira ambayo tume itakuwa huru na kuna mazingira ambao unaweza kubadilisha baadhi ya vifungu vya katiba. Mimi sio mpenzi sana wa kuweka viraka kwenye katiba nisigependa tuifumue katiba.

KUHUSU KATIBA MPYA
“Nisingependa tuifumue katiba wakati tunakwenda kwenye katiba mpya yenyewe hasa kwa bunge hili ambalo tunalo sasa hivi ambao 97% ya wabunge wanatoka chama kimoja."

Source: Clouds TV
Zitto kawa kama MC wa Hangaya
 
Zitto sio mpinzani hata kdg, yeye ni 'mtu wa fursa'.
Kwake maslahi binafsi ndio deal na sio kingine!
 
Eti sasa wako huru!
Vinara wa kupiga kelele ni walewale, wanabadilisha maneno tu, lakini tamaa ya madaraka iko palepale.
Cha ajabu hao hao waliokuwa wanaongoza kwa kelele za kunyimwa uhuru, ndiyo hao hao kipindi hicho walikuwa wanaongoza kukosoa serikali na hata kumtukana Rais wa kipindi kile, na kueneza hata uongo! Lakini bado walikuwa huru!

Na ndiyo hao hao walikuwa wanatunga ngonjera za kutekwa! Walishiriki mchezo wa kuficha vijana wao na kusingizia kutekwa! Nakumbuka kipindi kile mtu akipata wito wa Polisi, aendi ila anaenda kudanganya kwenye mitandao ya kijamii na kudanganya kwamba kuna mazingira ya kutaka kutekwa. Anakataa wito wa polisi, wakimkamata jamaa zake ambao aliwatayarisha wanaeneza uzushi katekwa!
 
Watakula kuzungumza hivi zito huwa anakili timamu kweli , maisha yanapanda kila dakika yeye anawaza siasa na kikutano

USSR
Ajira ya miaka 9 amehakikishiwa, atakula na kunya DALALI wa mama, huo ugumu wa maisha haumuhusu, huyo ndio Zitto Muyanga Kabwe Zuberi.
 
Watu wana uhakika wa kuropoka hovyo hovyo majukwaani na kwenye runinga eti ee.
 
... hakuna la kujivunia hapo! Bila mifumo imara na thabiti kuhakikisha uhuru wa wananchi unalindwa; kuhakikisha demokrasia inashamiri ni upuuzi mtupu! Tatizo la nchi hii ni kutegemea hisani za watawala badala ya haki za kikatiba na kisheria.

Leo Samia anasifiwa (kwa kiasi chake), kesho akiibuka "mwehu" atatumaliza! Let's seek for permanent solution badala ya "hewala bwana".
Nafikiri permanent solution ni wananchi kuwa na ujasiri, wanapaswa kuwa na ujasiri wa kusema no pale kiongozi anapozingua na kuvunja Sheria za nchi

Wananchi wakiwa legelege hata tuwe na Katiba nzuri kiasi gani, akija kiongozi kichaa ataivunja tu na kila mtu ataufyata
 
Eti sasa wako huru!
Vinara wa kupiga kelele ni walewale, wanabadilisha maneno tu, lakini tamaa ya madaraka iko palepale.
Cha ajabu hao hao waliokuwa wanaongoza kwa kelele za kunyimwa uhuru, ndiyo hao hao kipindi hicho walikuwa wanaongoza kukosoa serikali na hata kumtukana Rais wa kipindi kile, na kueneza hata uongo! Lakini bado walikuwa huru!

Na ndiyo hao hao walikuwa wanatunga ngonjera za kutekwa! Walishiriki mchezo wa kuficha vijana wao na kusingizia kutekwa! Nakumbuka kipindi kile mtu akipata wito wa Polisi, aendi ila anaenda kudanganya kwenye mitandao ya kijamii na kudanganya kwamba kuna mazingira ya kutaka kutekwa. Anakataa wito wa polisi, wakimkamata jamaa zake ambao aliwatayarisha wanaeneza uzushi katekwa!
Kukataa kuwa Magufuli alikuwa mtekaji na muuaji ni sawa na mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga.

Nyie ndio mnaosema Lissu alijipiga risasi , sijui alishambuliwa na Mbowe..
Nyie watu ni wajinga sana
 
Eti sasa wako huru!
Vinara wa kupiga kelele ni walewale, wanabadilisha maneno tu, lakini tamaa ya madaraka iko palepale.
Cha ajabu hao hao waliokuwa wanaongoza kwa kelele za kunyimwa uhuru, ndiyo hao hao kipindi hicho walikuwa wanaongoza kukosoa serikali na hata kumtukana Rais wa kipindi kile, na kueneza hata uongo! Lakini bado walikuwa huru!

Na ndiyo hao hao walikuwa wanatunga ngonjera za kutekwa! Walishiriki mchezo wa kuficha vijana wao na kusingizia kutekwa! Nakumbuka kipindi kile mtu akipata wito wa Polisi, aendi ila anaenda kudanganya kwenye mitandao ya kijamii na kudanganya kwamba kuna mazingira ya kutaka kutekwa. Anakataa wito wa polisi, wakimkamata jamaa zake ambao aliwatayarisha wanaeneza uzushi katekwa!
Acha kijifanya mpumbavu wakati una akili timamu. Ina maana udhalimu uliokuwa unaendelea wewe ulikuwa kipofu?
 
Kwa kusema hvo tu, tayar muamala umesoma kwenye akaunti yake
 
Acha kijifanya mpumbavu wakati una akili timamu. Ina maana udhalimu uliokuwa unaendelea wewe ulikuwa kipofu?
Anajitoa fahamu " kwenye utawala wangu yeyote anaweza kufanywa chochote.." Jiwe
 
Kiongozi wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe alikuwa kwenye kipindi cha Tv ndani ya Clouds TV asubuhi ya leo Aprili 11, 2022 amezungumza mambo mengi ya kisiasa, haya ni baadhi ya yale aliyozungumza kwenye interview yake hiyo:

Amesema mazingira ya kisiasa Nchini Tanzania yamebadilika na kuna uhuru sasa hivi.

“Watu wako huru kuzungumza hawaogopi chochote kama kutekwa, kushtakiwa na tutumie hii nafasi ya uhuru kuzungumza tukae kama viongozi tuzungumze..

“Inawezekana kama viongozi tuna tofauti zetu za kibinafsi au kivyama, inatakiwa hizo tofauti uziweke pembeni na kuikabili changamoto iliyopo mbele na tuitumie hii nafasi vizuri,” Zitto.

KUHUSU TUME HURU YA UCHAGUZI
"Tuweke mazingira ambayo tume itakuwa huru na kuna mazingira ambao unaweza kubadilisha baadhi ya vifungu vya katiba. Mimi sio mpenzi sana wa kuweka viraka kwenye katiba nisigependa tuifumue katiba.

KUHUSU KATIBA MPYA
“Nisingependa tuifumue katiba wakati tunakwenda kwenye katiba mpya yenyewe hasa kwa bunge hili ambalo tunalo sasa hivi ambao 97% ya wabunge wanatoka chama kimoja."

Source: Clouds TV
Zito ni msaliti kila mahali.
 
Back
Top Bottom