Zitto: Kesi nyingi za uhujumu uchumi ni za kubambika na kukomoa sasa wanatafuta hela. Nchi ya GANGSTERISM 100%

Watu sio maji kuwa hayana idadi/hayahesabiki.

Ni vizuri ataje majina ya watu anaodai wamebambikiwa kesi ya uhujumi uchumi ili tuwajue kuliko kuongea lugha za kisiasa.

Kinyume cha hivyo ni kutafuta tambo za kisiasa!
Huyu jamaa mi ananiachaga hoi sana. Si angetaja ha wawili basi. Hivi kuna watu wanamuamini huyu mti
 
Naona ukweli ulio wazi kabisa hasa hapo kwa Ruge na Singa Singa maana hela za escrow zilipata hadi idhini ya bodi ya wakurugenzi wa TANESCO pamoja na waziri Muhongo akiwa Nishati!!!!!!!!!!!!!!!
 
Siwajui wengine. Wale wa Acacia, akitoa maagizo alisema, 'wananishtaki mimi! Kamata maofisa wao wakuu wote, tuone kama hawatakuja kwenye meza ya mazungumzo'
Duuh unanikumbusha rafiki yangu Deo Mwanyika na Asa Mwaipopo.
 
Watu sio maji kuwa hayana idadi/hayahesabiki.

Ni vizuri ataje majina ya watu anaodai wamebambikiwa kesi ya uhujumi uchumi ili tuwajue kuliko kuongea lugha za kisiasa.

Kinyume cha hivyo ni kutafuta tambo za kisiasa!
Basi waachwe wasipewe msamaha, watashinda kesi na serikali itakosa hela na itawalipa fidia
 
Hogwash
 


Zitto atakuwa amepata ‘amnesia’ sio bure ni juzi tu hapa alisifia maamuzi ya watu hao hao kukamatwa akiitaka serikari iende mbali zaidi.
 

Lengo la kuwekwa ndani ili ufilisike kabisa na familia yako isambaratike kabisa kwa kutokuwepo kwako.
 
Utawala huu wanaweza hata kuwabambikia kesi familia yako yote pia wakavhukua mali ulizowaachia cha msingi ni kuomba mungu waache hii Dhambi ya kuwabambikia watu kesi kienyeji kwa njia haramu

Kagame ndie master mind copy na paste kuwakomoa na kuwaporra watu Pesa baada ya kushuka kwa vyanzo vya mapato.
 


Zitto atakuwa amepata ‘amnesia’ sio bure ni juzi tu hapa alisifia maamuzi ya watu hao hao kukamatwa akiitaka serikari iende mbali zaidi.

Kutenda haki ni kutafuta ushahidi uliokamilika kisha wawahukumu kama sheria isemavo.Na sio kuwakamata watu kwanza kisha ndo utafutwe ushahidi hii ni kinyume na jamii iloyostaarabika
 


Zitto atakuwa amepata ‘amnesia’ sio bure ni juzi tu hapa alisifia maamuzi ya watu hao hao kukamatwa akiitaka serikari iende mbali zaidi.
Wanamjua walisha sema ndumila kuwili ni uthibitisho tu wa undumila huo
 
Huwa nayakumbuka maneno ya Baba wa taifa. "Katiba ya Tanzania imempa madaraka makubwa sana Rais wa Tanzania. Siku akiingia madarakani mwendawazimu, tutapata shida". Hayo ni maneno ya Nyerere. Nitawaletea video clip, ninayo.
Hahahaaah aisee
 


Hao watu Wa kujielewa watoke wapi hali wameuwa elimu nzuri aliyotuachia mkoloni iliyopelekea watu kujitambua.Hawa wamewekeza kwenye ujinga na umasikin kama mtaji Wa kutufanya watakavo.Leo waliokuwa waandimizi Wa dikteta boutlafrica Wa algeria wanachezea mvua uenda kizazi kijacho kitarevenge
 
This is so obvious .....!!

Kama DPP. PCCB na DCI wanashindwa kuwatengenezea mashitaka watuhumiwa kwa miaka mitatu hapo unategemea nini!!?
Huwezi pata ushahidi kwenye kesi za kubambika ndo maana wanashindwa kuwapeleka mahakamani wakashindane kwa hoja mbele ya sheria .Kukwepa aibu ya kushindwa wamekuja na hili la kuwalamisha waombe msamaha.
 
Hawa watu watakuja ipa serikali ijayo hasara ikitoka hii wataisthaki serikali iwalipe fidia hapa ni kodi zetu ndizo zitatumika.
 
wengi wao ni wale waliosemwa na wapinzani kuwa ni mafisadi...
leo wanatetewa na haohao wapinzani...

Ni wakati mzuri wa kuwatetea na akina Seth na Rugemalila/Lugemalila......japo tuliwaita mafisadi before
Alietoa rushwa na aliepokea rushwa wote inabidi wachukuliwe hatua, iweje sasa kina Ngeleja na wenzake kina Joka la makengeza wanadunda mtaani? Na kama kweli hawa ni wahujumu uchumi sasa mbona uchunguzi haukamiliki miaka mi4 yote? Wamefukunyua huko wakaona hakuna dalili ya kushinda kesi ndio wamekuja na gia nyingine ya nipe nikupe.

Watz tuna akili nyie wa huko lumumba endeleeni kuwa misukule
 
Upelelezi unaendelea miaka3 hadi 4 hii sio sawa .Hata kesi zenye prima-facie evidence unasema bado upelelezi unaendelea? hapo kuna mashaka.

No makosa kumshikilia mtuhumiwa kisha ndo uanze kutafuta ushahidi ni kinyume na haki za binadamu.Kama ushahidi aujakamilika kwann wakamate watu.Halafu tuna watunza sheria mahakimu,majaji,wapelelezi tena ni wasomi na nyumba za ibada wanakwenda huwa najiuliza huwa wanakwenda kufanya nn nyumba za ibada hali wameshikilia uhuru na haki za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…