paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Kwa sasa kila linalowezekana kufanyika Kwa wapinzani Kwa sababu ukweli kwamba, nafasi ya kuambulia chochote hawana!
Wananchi watawapuuza!!
Wananchi watawapuuza!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika nimeziona hizo kura nyingi kwa Zito. Hivi bila uongo huwez kuwa kiongozi mzuri?
Umeona wamegoma kuachia mfukoHakika nimeziona hizo kura nyingi kwa Zito. Hivi bila uongo huwez kuwa kiongozi mzuri?
it can be staged pia...Mtu kapewa miaka mitano kashindwa bado tu anafanya hila sasa huyu anataka nini kama siyo kutaka kuiingiza nchi kwenye kiza cha migogoro.
Baseless arguments. Kuna ushahidi gani kuwa hizo karatasi Tatum zinazoitwa "nyingi sana" siyo feki pia?
Wewe malaya acha kunifuata fuata PM, mimi sigongi mashogaNdo mlichokua mnataka Lisu akiruhusu akipewa sapoti na beberu............tinduaneni wenyewe marinda wazalendo hatuna hizo tabia
Hawa wahuni bado sana waendelee kujifunza namna nchi inavyoendeshwa ukifika mwaka 2100 wanaweza kuwa wameiva sasa kushindana ila kwasasa HELL NO.Jamani, mnaona chochote hapo!? Hakuna kinachoonekana! Watu wanabumba visingizio. Poleni
Si umesema niongeze ky maana ulikua unapandwa na mzungu kibamia hili hogo la chato linakuumizaWewe malaya acha kunifuata fuata PM, mimi sigongi mashoga
Kama unatumia opera mini browser kwenye simu yako unaweza pata facebook,instagram na twitter japa twitter imepotea kwangu sasa hv time naandika reply hiiMbona facebook hahipatikani ??
Hata wewe!??#shameJamani, mnaona chochote hapo!? Hakuna kinachoonekana! Watu wanabumba visingizio. Poleni
Nyie ndio mlipewa pesa za kupiga hizo kura. Baada ya wiki moja pesa zitaisha na watawatupa kama kondomu.Jamani, mnaona chochote hapo!? Hakuna kinachoonekana! Watu wanabumba visingizio. Poleni
Mkuu, nionyeshe. Mimi sioni mkuu.Hata wewe!??#shame
Mimi Nimepiga kura tatu; moja ya rais, ya pili mbunge, na ya tatu diwani. Na nimefanya kazi hiyo kabla ya saa tatu asubuhi ya leo.Nyie ndio mlipewa pesa za kupiga hizo kura. Baada ya wiki moja pesa zitaisha na watawatupa kama kondomu.
Anza kuingia mtaani uonyeshe mfano punguzeni ukamanda wa kwenye keyboardWatanzania mkikubali huu us***ge sasa hivi haki ya nani mtatawaliwa vibaya sana.
Huu ndiyo mwaka tunakiangusha chama cha majambazi, hakuna next time, leo lazima kiwake
Huu ndio ukweli ulio wazi.kuanzia jioni ya leo ataanza kushughulikiwa mmoja baada ya mwingine
Mkuu, nionyeshe. Mimi sioni mkuu.