Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
Presha ya show kubwa za magwiji wa muziki hapa nchini MWANA FA "The Finest" na lady jay dee" miaka 13 ya jide" imezidi kupanda baada ya show hizo kutawaliwa na wanasiasa, Zitto alisema yeye atakuwa kwa mwana FA, huku mbunge kijana aka kinega sugu akichagua kwenda kwa Jide aka ANACONDA aka binti machozi kutoa full sapoti
Mwana FA atapiga nyimbo zake zote Live akiwa na bendi kongwe na bendi maarufu hapa nchini ya WANANJENJE!
HONGERA KWA HAWA WASANII KWA HATUA WALIYOPIGA........................
Mwana FA atapiga nyimbo zake zote Live akiwa na bendi kongwe na bendi maarufu hapa nchini ya WANANJENJE!
HONGERA KWA HAWA WASANII KWA HATUA WALIYOPIGA........................
