Nadhani ZITTO alikuwa anawapiga kiaina Wahafidhina na msimamo wao wa serikali tatu, mwenywe anajua serikali tatu hazina maslahi kwa taifa.
Wazalendo, ili akawapige wahafidhina.
Hamuatendei haki kusema hivyo eti kwa sababu tu walikuwa wanasimamia haki.
Kundi lenye malengo ya serikali mbili.Kwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
Unapanda basi la ubaguzi?! Watu au taasisi kama vyama vya siasa vinashindana kw hoja siyo matusi au dharau au chuki au ubaguzi wa aina yoyote Samaki Samaki. Mola atujalie tupate katiba yenye kuleta manufaa kw wote Tanzania. Mola bariki nchi ya Tanzania.Tanzania my motherland
Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha CCM kuweka msimamo wa Serikali mbili kwenye muundo wa Muungano kinaua kabisa maana ya kuwepo na mjadala. 'Caucus' za vyama kwenye kazi nyeti kama ya kuandika katiba ya nchi iwe marufuku. Kuna kundi lina lengo la kuzuia katiba Mpya kupatikana. Kwa vyovyote vile lazima tuwashinde wapinga mabadiliko hawa kwa kuunganisha nguvu za wananchi. Tusirudi nyuma
"Forward ever, Backward never" - Nkrumah
suorce FB profile yake(ofisi ndogo)
My take;kiongozi muadilifu na mwanamapinduzi ya kweli huitaji torch kumtambua
Angalizo langu binafsi pia kitapokuja kipengere cha kujadili muungano na muundo wake msisahau kujadili ubaguzi/muungano wa WAPEMBA NA WAUNGUJA muda ukifika mtaelewa what i mean
kwa hiyo wenye msimamo wa serikali gani wanataka wanazuia mjadala? CHADEMA nao wana msimamo wa serikali tatu, nao wanazuia mjadala?
Huyo ana wakilisha mahakama
anawakilisha kundi la wabunge wa mahakama!!Kwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
Kundi la Wabunge wa Mahakama eg Zitto, Hamadi Rashidi, Kafulila
Zito ana hahaha sana nae
.
Ni kweli kabisa kuna ka bana mdogo kanaitwa nape kamepewa usemaji wa ccm na kujivika mamlaka ya m/kiti wa chama hicho. Ana mawazo yake binafsi ya serikali mbili na kwa hivyo ni haki yake na yanapaswa kuheshimiwa la katu katu watanzania tusikubali mawazo ya huyu ba mdogo kuwa ndio msimamo na absolute ya chama. Kajamaa haka ndiko kalikomshawiishi m/kiti na kumburuza katika wazo lake ili kuufanya kuwa ni msimamo wa chama.
Hivi tuwaulize ccm ni lini itafika waheshimu mauni ya wengi yaiopatikana kidemokrasia ya wengi wape? Wananchi tunauliza, kuna mungu mtu yupi ndani ya ccm anaetaka kujifanya kuwa yeye ndio katiba ya nchi? Jioneeni aibu enyi vizee vya ccm vyenye shingo ngumu na chonde chonde tunawaomba muyaheshimu mawazo ya wananchi wenu. Na kama hamtaki kuheshimu maoni ya wengi basi raia tutatumia njia mbadala kuwalazimisha kwa shurti kufanya hivyo.
.
Zitto ndio nani? badala ya kuabudu taasisi, kanuni na katiba yake mpo bize mnaabudu mtu fulani....
kama ni jembe basi na lilime mihogo kwao mwandiga acheni kutupotezea muda na huyo -----zito ni jembe
serikali tatu tangu enzi za g55,au mimba yako changa imekosa ukwaju leo.
kwa hiyo wenye msimamo wa serikali gani wanataka wanazuia mjadala? CHADEMA nao wana msimamo wa serikali tatu, nao wanazuia mjadala?