mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha CCM kuweka msimamo wa Serikali mbili kwenye muundo wa Muungano kinaua kabisa maana ya kuwepo na mjadala. 'Caucus' za vyama kwenye kazi nyeti kama ya kuandika katiba ya nchi iwe marufuku. Kuna kundi lina lengo la kuzuia katiba Mpya kupatikana. Kwa vyovyote vile lazima tuwashinde wapinga mabadiliko hawa kwa kuunganisha nguvu za wananchi. Tusirudi nyuma "Forward ever, Backward never" - Nkrumah
Source FB profile yake(ofisi ndogo)
My take;
kiongozi muadilifu na mwanamapinduzi ya kweli huitaji torch kumtambua. Angalizo langu binafsi pia kitapokuja kipengere cha kujadili muungano na muundo wake msisahau kujadili ubaguzi/muungano wa WAPEMBA NA WAUNGUJA muda ukifika mtaelewa what i mean
Source FB profile yake(ofisi ndogo)
My take;
kiongozi muadilifu na mwanamapinduzi ya kweli huitaji torch kumtambua. Angalizo langu binafsi pia kitapokuja kipengere cha kujadili muungano na muundo wake msisahau kujadili ubaguzi/muungano wa WAPEMBA NA WAUNGUJA muda ukifika mtaelewa what i mean