byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,059
- 946
bado kuna raia wanamfuatilia Zitto?
Wazinzi kama slaa na mbowe hawawezi kumfuatilia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado kuna raia wanamfuatilia Zitto?
Huyo ana wakilisha mahakama
Zitto toka juzi anatafuta kuandikwa ila ANAPOTEZEWA.Dhambi ya usaliti ni mbaya.
Zitto ni popo,na dawa ya popo ni kumpa kichapo mpaka aseme yupo kundi gani?
kwa hiyo wenye msimamo wa serikali gani wanataka wanazuia mjadala? CHADEMA nao wana msimamo wa serikali tatu, nao wanazuia mjadala?
Nadhani ZITTO alikuwa anawapiga kiaina Wahafidhina na msimamo wao wa serikali tatu, mwenywe anajua serikali tatu hazina maslahi kwa taifa.
Mimi nilikuwa mjumbe wa Tume ya Waryoba, huo ndiyo ulikuwa msimamo wa Mwenyekiti wetu, lakini kutokana na pressure ya watu waliotumwa kwa malengo yao binafsi wakamzidi ujanja.
Zitto sioni anachokisema hapo. Ccm nitaasisi na ndio maana ina msimamo wake kama taasisi kwani mbona wasomi wa vyuo na wao wanamisimamo yao kuhusu serekali ngapi wana itaji. Hata zitto mwenyewe akilini mwake anamsimamo wake serekali ngap anaitaji.ata chadema waliwahikusema wanaitaji serekali tatu ndio wataotetea..
Ccm ni wa wazi ndio maana wametoa msimamo wao
Hata viongozi wa dini wanaitaka serikali mbili na huo ndiyo msimamo wao, CHADEMA hawawezi kuwa msimamo kwa sababu ni SACCOSS
serikali tatu ni mzigo. muundo wa serikali ubaki hivyo hivyo serikali mbili, chadema wanataka serikali tatu ili wavunje muungano. shame on them...!!!
Huyo Zitto KAFULIA KWELIKWELI. Hivi na kusoma kote madegree anaongea uozo huu....😕
Kasema CCM wameweka msimamo wa serikali 2. Mbona hajasema CHADEMA WAMEWEKA MSIMAMO WA SERIKALI 3:what::what::what:
AACHE UNAFIKI
nawashangaa wanaopinga serikali tatu hawana facts wala takwimu