Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
LOOK HERE SIR, ISSUE HAPA NI MAPAROKO KUMWOMBEA DUWA MPIGANAJI KWELI WOTE HAPA TULIDHANI KWAMBA LABDA SASA TUNA MTU MAKINI, HATA WAO YAWEZEKANA HAWAKUJUA USANII WA AKINA JK ,SASA KAMA JAMAA KADAI HIVYO HADHARANI WAO WASEME NINI WAMUMBUE HADHARANI ONLY TIME HAS TELL THE TRUTH ASASA WANA KUJA NA KUTOA CONCLUSION ZAO KWAMBA ZITO CHOMBO SASA NI MIMI NA WEWE KUSEMA AMINA
LAKINI NINYI NDIYO MNAO SEMA KITU KISEMWE ATILIGHT THING LIGHT TIME KAMA NDIYO HIVYO WENGI MSINGE KUWAPO SASAmchungaji anayeogopa kusema ukweli hadharani, hafai kuusema mafichoni.
Siajelewa, eti hii ni nini? Nimesoma machapisho yote sielewi
Ni thread yenye sala za kukuombea ili uendelee kuwa upande wetu!Siajelewa, eti hii ni nini? Nimesoma machapisho yote sielewi
TWE TWE TWE TWE MWANA MAPINDUZI ANAYEISHI SAYARI YA MBALI HATUFAI KAMA MASIA BASI ANGEL OF EVIL,sawa ngoja niache...tuko sayari mbili tofauti.
TWE TWE TWE TWE MWANA MAPINDUZI ANAYEISHI SAYARI YA MBALI HATUFAI KAMA MASIA BASI ANGEL OF EVIL,
Hawafai nyie na nani?
MWANA KIJIJI HAELEWEKI ETI MASKOFU KUMWOMBEA DUA ZITTO ANAKUWA KAMA HAJUI NATAKA KUZUA HOJA ,WAKATI ISSUE NI ZITTO KUOMBEWA MAISHA MAREFU,SASA ANA UKWA KAMA KAUZIBE
TRY TO THINK AS PEOPLE AROUND YOU THINK,kwi kwi kwi...
Sikujua kama wewe ni msemaji wa maaskofu!
Hawa hawa ambao Waziri Mkuu alipokuwa anafungua Kliniki kule Mwanza aliwaambia kuwa kwa wao kuleta huduma za jamii "wanasaidia kutekeleza Ilani ya CCM" na wakakaa na kupiga makofi..?