Zitto na vijana wako acheni kuwananga CHADEMA kisa tu kufungua ofisi ya makao makuu

Mtajenga sana, tunachoangalia utendaji wa kazi na uaminifu
 
Sioni popote ACT walipoinanga Chadema, wewe ndio umejaa umbea.

Chadema hawajawahi kuwa serious na hii issue, kama wangeamua, naamini wana uwezo wa kujenga makao makuu zaidi ya pale Lumumba.
CHADEMA wapo Serious na Mambo yenye TIJA kwa Taifa hao wengine Mfadhili kawapa FUNGU wavuruge Upinzani wa Kweli
 
Ikiwa ACT itapata viongozi wazuri wasio kigeugeu deified ya utawala wa ccm au wasiogeuka geuka kwenye misimamo yao dhidi ya ccm iko siku kinaweza kuwa chama mbadala. Huwa naupenda ukosoaji wao haunaga matusi au kugha za kejeli dhidi ya utawala
 
Sijui nini kilitokea kwa Chadema nakumbuka kuna mwaka waliwahi kupewa ela za kujenga ofisi na Sabodo, sijui ziliishia wapi? Kama taasisi kuwa na ofisi ya kueleweka inajenga kauaminifu flan pamoja na ukweli kuwa mnafanya vizuri kwenye harakati lkn ofisi muhimu.

Na ni jambo zuri kujifunza kutoka kwa waliofanya hvyo; kwa umri wa Chandema na hadhi yake inapaswa kuwa na ofisi nzuri sana though haina uhusiano na harakati
 
CHADEMA wapo Serious na Mambo yenye TIJA kwa Taifa hao wengine Mfadhili kawapa FUNGU wavuruge Upinzani wa Kweli

Sawa lkn Chadema pia mlishawahi kupewa fungu na Sabodo zilienda wapi? Na alisema anatoa kwa ajili ya ofisi, ndo tunaanza kuwapima mkipewa dola nyie mtaheshimu budget kweli kama ile kidogo mlishindwa? Mambo yenye TIJA yepi nyie ambayo mpo nayo serious? Kuomba kufanya mikutano ndo mambo serious?
 
Acheni ujingaa miaka 61 CCM tuonyeshe CCM imefanya nini??kutwa mnahangaika na chadema .unanunua v8 NCHI haina Maji huu ujingaa upo CCM TU.
 
Onyesha ushahidi wa huyo Mhindi kuwapa Hela CDM.

Afu usisahau CDM wamejenga ofisi takriban kila mkoa na wilaya kwa nguvu za wanachama.
 
Sabodo aliwapa Chadema million 100 unconditional, huwezi Kujenga jengo la ofisini ya kisasa kwa million 100.
Onyesha ushahidi wa huyo Mhindi kuwapa Hela CDM.

Afu usisahau CDM wamejenga ofisi takriban kila mkoa na wilaya kwa nguvu za wanachama.
Jafar Sabodo aliwapa Chadema msaada wa million 100 ili kuboost harakati zao.
 
Onyesha ushahidi wa huyo Mhindi kuwapa Hela CDM.

Afu usisahau CDM wamejenga ofisi takriban kila mkoa na wilaya kwa nguvu za wanachama.
Jamaa basi utakuwa mgeni kwenye Siasa, Ebu google huko Mbowe akipokea hundi kutoka kwa Sabodo kama hautomuona,unataka ushahidi gani hapo? Halafu labda kama hujui aliwapa na kiwanja akawaona wanazingua akakichukua mwenyewe. Ogopa Mungu na Teknolojia ndugu...
 
nao na Zitto anajitekenya na kucheka yeye mwenyewe!
Zitto atambue kuwa: 'Ukimwona mbwa juu ya mti ujue kapandishwa'!
 
Miaka 30, Chadema ofisi ya makao makuu yake inafanana na vile vijumba vya wanawake wanaojiuza buguruni. Aibu!

Chadema wana aikili kuliko unavyodhani. Chadema wamejikita kutafuta wanachama kwanza ofisi baadae nyie endeleeni kujenga majengo kwa pesa za kuhongwa na ccm yatabaki wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…