Zitto: Nakerwa kuitwa msaliti wa mageuzi

Zitto: Nakerwa kuitwa msaliti wa mageuzi

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.​


“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

1652349888258.png
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.​


“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

View attachment 2221541
Tatizo zito hana msimamo..

Rais akiwa mgalatia atapiga kelele nyingi sana!!
Lakini akiwa wa upande wa bakonzi ni kusifu na kupongeza!!!

Kumbuka kipindi cha

KIKWETE.

MAGUFULI.

na sasa SAMIA!!
 
Akizungumza na Mwananchi wakati wa mahojiano maalumu jijini Mwanza mwishoni mwa wiki iliyopita, Zitto, aliyewahi kuwa mbunge wa majimbo ya Kigoma Kaskazini na mjini kwa nyakati tofauti anakana tuhuma hizo, akisema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.

“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

Akijibu swali iwapo chama chake kitakuwa tayari kuwapokea wanachama wapya wakiwemo wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chadema ilitangaza kuwavua uanachama, Zitto anasema; “ACT-Wazalendo hatuwezi kukataa kupokea wanachama wapya; chama cha siasa kinachokataa kupokea wanachama wapya hakiwezi kukua.”

Uamuzi wa wabunge hao kuvuliwa uanachama na nyadhifa zote za uongozi ulitangazwa Novemba 27, 2020 na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema ni maamuzi ya Kamati Kuu.

Desemba Mosi, 2020, Wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, wabunge hao walitangaza kukata rufaa Baraza Kuu la Chadema linalotarajiwa kukutana leo Mei 11, huku hatima ya wabunge hao ikiwa miongoni mwa ajenda.

Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema wa kuwavua uanachama wabunge hao ulitokana na madai ya wao kukiuka msimamo wa chama wa kutotambua matokeo ya uchaguzi wa 2020 kwa kukubali kuapa bungeni.

Pamoja na Mdee, wengine waliovuliwa uanachama ni aliyekuwa makamu wake Hawa Mwaifunga (Bara), aliyekuwa katibu mkuu Bawacha, Grace Tendega, manaibu wake Jesca Kishoa (Bara) na Asia Mohammed (Zanzibar) pamoja na aliyekuwa mwenezi wa baraza hilo, Agnestar Lambert.

Wengine ni Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Nusrati Hanje, Tunza Malapo, Felister Njau, Nagenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Fiao, Anatropia Theonest, Salome Makamba, Ester Matiko na Conchesta Rwamlaza.

“Utayari wa ACT-Wazalendo wa kuwapokea haumaanishi kwamba tunakubaliana na njia walizotumia kupata ubunge. Ni dhahiri walikiuka kanuni za siasa ikiwemo uwajibikaji wa pamoja katika maamuzi ya vikao na misimamo ya kitaasisi,” anafichua Zitto.

“Licha ya mambo waliyoyafanya, haiondoi dhamira yao ya kufanya siasa, kwani watu hukosea na kujirekebisha wakipewa nafasi. Wakija tutawapokea.”
 
Ayatollah..kama unavyoumia kuitwa msaliti kitu ambacho ni kweli kabisa..na sisi ilituuma sana kutuambia tukazikwe na kipenzi chetu JPM.

Suala la usaliti huwezi likwepa mana hata sura ya ko inaonyesha tu.

Umewauza wazenji kwa ccm kupitia act.

Endelea kuwauza hao Tanganyika sahau...mana wanakujua tangu ukiwa mwandiga.

Ngumu sana kuaminika tena.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zitto alikuwa hajui Maghufuli alimpandisha Sana , Ila akamsaliti sa hv ndo atajua hajui
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.​


“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

View attachment 2221541
Ukishamjua MCHAWI naye akijua ya kuwa umetambua yy mchawi, unaeza mpa akulelee mtoto. Muovu akiwekwa wazi Hana madhara. Tunaishi nae tu Kwa ''AKILI'' Mr zittow
 
Hata sie tuna chukizwa na wewe kuwa msaliti
Haiwezekani musaliti rasimu ya Mh. Warioba nawe ukae kimya uharamu unaonfanywa na Mtungi na Mukandala. Zitto wewe ni msaliti my friend.
 
Kuwa na amani,

Kwa sasa Mbowe kawakataza vijana wake (BAVICHA) kutukana na kukashifu wanaotofautiana nao.

Ila unapaswa kuheshimu pia mitazamo ya wengine hata kama hukubaliani nayo.

Umekuwa na kauli za kipuuzi sana hivi karibuni.
True
 
“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania
Yaani wewe miaka yote unatofautiana na wenzio tu, basi una shida pahala sio bure....@zitto
 
Anataka mawazo yake yaheshimiwe ila hataki kuheshimu ya wenzake.
 
Ziii buana unataka tukujadili wewe tupotezee mkutano wa Chadema janaleo?
Hukusema nyuma unasema leo
Hivi ndivyo unawakera watu kuliko wewe unavyokereka...
Tulia kidogo tujadili ya mkutano wa Taifa
Tutakurudia tukupe wazo la kuepuka kukereka
 
Zitto ana majina mawili Msaliti au Ndumilakuwili hata mzee Rungwe kakuchapa kijembe jana
 
Back
Top Bottom