Zitto: Nakerwa kuitwa msaliti wa mageuzi

Zitto: Nakerwa kuitwa msaliti wa mageuzi

Tatizo zito hana msimamo..

Rais akiwa mgalatia atapiga kelele nyingi sana!!
Lakini akiwa wa upande wa bakonzi ni kusifu na kupongeza!!!

Kumbuka kipindi cha

KIKWETE.

MAGUFULI.

na sasa SAMIA!!
Jamaa rangi yake halisi haijifichi
 
Anaitumia ile kauli ya Mbowe jana kujikweza, naona anatembea na biti ili kutafuta popularity.
 
Tatizo zito hana msimamo..

Rais akiwa mgalatia atapiga kelele nyingi sana!!
Lakini akiwa wa upande wa bakonzi ni kusifu na kupongeza!!!

Kumbuka kipindi cha

KIKWETE.

MAGUFULI.

na sasa SAMIA!!
Zitto kavuma kipindi Cha utawala wa Nani!?..na kashuhudia Marais wangapi wagalatia akiwa mwanasiasa wa upinzani!?
 
Zito anataka watu wawe waongo?

Kama ni msaliti, anataka watu wamwite nani?
 
Zitto usijali;
Tabia ni kama ngozi inaandamana na mtu milele.
Matendo na kauli ni vitu viwili tofauti, kauli siku zote kama haziendani na matendo shida huanzia hapo!
Na kumbuka pia kuwa; uongo hutumia lift kwenda juu bali ukweli hutumia ngazi, japo ukweli hufika juu kwa kuchelewa hutamalaki!
Naamini umenielewa Mkuu.
 
Kama ni mwanamke ungeitwa Delila ,ila mwanaume sijui tukuitaje
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.​


“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

View attachment 2221541
Hata wakupakaze vipi,zitto utaibuka mshindi
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kusaliti demokrasia na mageuzi ambayo yeye ameyapigania tangu akiwa na umri wa utoto.​


“Mimi ni miongoni mwa watu tuliopachikwa jina la usaliti, kama binadamu, siwezi kujisikia vizuri kuitwa msaliti wa mageuzi na demokrasia kwa sababu tu nasimamia kile ninachokiamini ambacho wenzangu hawakubaliani nacho.”

Zitto anasema tuhuma hizo msingi wake ni watu kushindwa kukubali ukweli kila mtu ana mtazamo na msimamo juu ya jambo fulani.

“Hata hivi sasa ninapotofautiana na vyama vingine vya upinzani kuhusu nini kitangulie kati ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi bado ninaonekana ni msaliti, jambo ambalo si sahihi hata kidogo,” anasema.

“Pengine tatizo langu linalosababisha kupachikwa majina mabaya, ikiwemo la usaliti ni kufikiri tofauti na wenzangu kuhusu namna bora ya kufikia mafanikio kwenye jambo tunalolipigania. Lakini kinachonipa faraja ni kwamba mwisho wa siku tunajikuta tutakuwa na msimamo wa pamoja katika kilekile kilichosababisha niitwe msaliti,” anasema Zitto.

View attachment 2221541
Kama siyo msaliti mbona yupo kwenye task force ya kukusanya maoni ya katiba mpya wakati anajua na alishiriki kutunga rasimu ya katiba maarufu kama Katiba ya Warioba, kijana Zitto ni mroho na mwenye tamaa ya pesa na madaraka
 
Back
Top Bottom