Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Zitto ameondoka leo alfajiri kuelekea Uingereza na baadaye, Hispania. Taarifa ya Chadema iliyosainiwa na Ofisa Habari wake, David Kafulila imeeleza.
Kafulila amesema Uingeza ataongoza Kongamano la Mtandao wa Wabunge wanaoshughulikia migogoro ya kisiasa na usalama duniani, yeye akiwa Mwenyekiti Mwenza. Mwenyekiti wake nu Mbunge wa Ujerumani Angelika Beer. Kongamano hilo litaanza Machi 26 hadi Aprili 2, 2009.
Atarejea nchini Aprili 10 baada ya kwenda Hispania katika ziara ya wiki moja yenye lengo la kuhamasisha programu ya uendelezaji utalii mkoani Kigoma.
Kwa siku kadhaa Zitto amekuwa kimya kiasi cha kuanza kuelezwa kwamba leo angekuwa na Press Conference. Hakukuwa na Press Conf yoyote
Kafulila amesema Uingeza ataongoza Kongamano la Mtandao wa Wabunge wanaoshughulikia migogoro ya kisiasa na usalama duniani, yeye akiwa Mwenyekiti Mwenza. Mwenyekiti wake nu Mbunge wa Ujerumani Angelika Beer. Kongamano hilo litaanza Machi 26 hadi Aprili 2, 2009.
Atarejea nchini Aprili 10 baada ya kwenda Hispania katika ziara ya wiki moja yenye lengo la kuhamasisha programu ya uendelezaji utalii mkoani Kigoma.
Kwa siku kadhaa Zitto amekuwa kimya kiasi cha kuanza kuelezwa kwamba leo angekuwa na Press Conference. Hakukuwa na Press Conf yoyote