Elections 2010 Zitto, Shibuda, Wenje, Mnyika, na sehemu,.............

Elections 2010 Zitto, Shibuda, Wenje, Mnyika, na sehemu,.............

Poa sana keep on posting beatus na wadau wengi vipi mmelala?
 
kote mambo yako shwari isipokuwa kwa shibuda ndo sina taarifa za hivi karibuni...kwa zitto ushindi sio swali bali alikuwa anasubiri kuapishwa tu. mnyika nae mpaka sasa tuna uhakiaka ataongeza nguvu ya upinzani bungeni

mura tupe mambo naona hujalala leo.
 
Naona mnyika safi,sijui kwa halima mdee kawe mambo yameendaje lakini mwendo mdundo pia kwake
 
Chadema tunapanda,tunapanda mazima,CCM wanashuka,wanashuka mazima.
 
Tunataka Chadema iwe na wabunge 106 kwa kuanzia............na mengineyo yatafuata.............
 
Back
Top Bottom