Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Mkuu mbona umechoka haraka kabla hujawakomboa watanzania?au umemaliza kazi uliyotumwa naCCM ya kukidhoofisha chadema?Mkuu we we ni msaliti Wa upinzani
 
zito yuko vzr sn ila amepata suprising atack namuunga mkono astaafu tu aangalie upande wa pili wa shilingi
 
wanasema kila kitu huanza na ndoto ila huyu mtoto wa makamba naona anaota mchana kweupe. sijui usiku ataota ndoto hiyohiyo ya urais?
 
wanasema kila kitu huanza na ndoto ila huyu mtoto naona anaota mchana kweupe. sijui usiku ataota ndoto hiyohiyo ya urais?

Ubunge wenyewe umemshinda, urais ndio atauweza....zito ni janga la taifa. ..kikwete ameshusha hadhi ya urais
 
Kama ndivyo basi amewajib CDM na amewaelewesha watanzania wasio yaelewa kuhusu Zitto,Pumzika kijana ila angali tunakuhitaji ktk siasa tena.
 
Hivi ni nani aliyekudanganya kuwa Zito anaweza kuwa lecturer. Wewe unafikiri kuwa lecturer unaamka tu na kusema nataka kuwa lecturer? Labda kama ni kile chuo cha Morogoro ambacho kina wakuu wa idara wenye masters degree za arabic halafu anakuwa mkuu wa kitengo cha lugha.

Zito anatangatanga na degree za kuungaunga halafu akawe lecturer? Degree yake inayotambulika hasa ni moja tu aliyoipata UDSM. Nyingine zimekaa kisiasa zaidi.

ZZK anafaa kupewa wizara moja nyeti aiendeshe from 2015..!! Huhitaji kuwa lecturer kwa sasa wkt bado kijana hivi..!! utafundisha tu uzeeni bado utakua haujachelewa but kwa sasa taifa linakuhitaji sana..!!
 


Kila nafasi anaona haina hadhi yake
 
Upo sahihi kabisa. Ukiona mtu anafahamika sana na kila mmoja anataka kuchangia ni lazima huyu mtu awe maarufu sana. Umaarufu huo unaweza kuwa wa uovu kama ulivyokuwa wa Hitler, Ascoba, Noriega, Rage, n.k. au unaweza kuwa ni umaarufu wa mambo mema, umaarufu wa kupendwa kama ule wa Mandela, Mwalimu Nyerere, Princes Diana, n.k. Sasa Zito ni umaarufu wa kupendwa au kuchukiwa?

"zitto is a great man" haiwezekani mtu mdogo atawale habari za mitandao ya kijamii kila kukicha kama mtu huyo siyo tishio.
 
Tatizo la zitto ni uzalendo wake anaipenda sana nchi yake na tatizo lake ndyo hilo ....laiti km angejifunza unafki Wa kukaa kimya hta km kuna maovu yanatendeka mpk Leo angekuwa shujaa
 
Ubunge wenyewe umemshinda, urais ndio atauweza....zito ni janga la taifa. ..kikwete ameshusha hadhi ya urais

tatizo brainwash ndyo zinawasumbua na kufata mkumbo zitto ni chhadema damu kuliko wakina lisu na sugu sema kukataa kwake unafki ndyo kumemponza
 
Zitto kinachomponza na sehemu atokayo,dini yake na kabila lake ingekuwa ni mchaga,mkristo au kutoka kaskazini tayari angeshakuwa mwenyekiti wa Chadema, na mpigiwa debe kuliko mtu yeyote yule Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Zitto kinachomponza na sehemu atokayo,dini yake na kabila lake ingekuwa ni mchaga,mkristo au kutoka kaskazini tayari angeshakuwa mwenyekiti wa Chadema, na mpigiwa debe kuliko mtu yeyote yule Tanzania.

Na wewe kinachokuponza ni nini ?
 
Last edited by a moderator:
zitto ni kiongozi na ili anahitajika but iwe ndani ya chadema,..nje ya chadema atakuwa amesaliti chadema ambayo yeye ameitumikia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…