Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Sasa atagimbea wapi ..Mara Urais...Mara Kinondoni ...Mara geita ....Sasa Kigoma Mjiniii...
 
Tuache porojo hakuna mtu mkubwa kuliko chama,hakuna mtu mkubwa kuliko nchi mfano halisi ni Mwl Nyerere leo hatuanaye lakini taifa linasonga mbele.Zitto anaweza kurejea CDM bila kinyongo lazima atakuwa amejifunza kitu.
 
Tunaweza kuendekeza ushabiki na unazii wa ki itikadi lkn tukibaliane na ukweli kuwa zito ni kiongozi shupavu na ni mzalendo.
Ni kweli amesaidia kufanya chadema ikajulikana kwa wananchi kwa hoja zake na misimamo yenye maslai kwa nchi lkn kwa bahati baya sana wakubwa wa cdm hawakukubaliana naye na huu mimi nasema ni mtazamo tu.
Labda ni kweli anaweza kuwa msaliti kwa mtazamo lkn ni mzalendo na mpigania haki. Nina imani kuwa angesimama na mbowe zitto angeshinda kwa kuwa hata humo ndani ya cdm anakubalika na watu wengi tu ila wanajaribu kushupaza shingo kupishana na ukweli.
 
Zitto ni kati ya vijana wahuni utadhani kalelewa mitaani
 
Huu Uzi nahisi umeasisiwa Lumumba mbona wote mnajibizana wenyewe huku
 
Zitto ni kati ya vijana wahuni utadhani kalelewa mitaani

MTU unayemdharau Leo na kumchukulia kama hana maana, kesho awe a Kuwa kiongozi wako. Ilinde heshima yako kwa faida ya kesho
 
Zitto ni kati ya vijana wahuni utadhani kalelewa mitaani

MTU unayemdharau Leo na kumchukulia kama hana maana, kesho aweza Kuwa kiongozi wako. Ilinde heshima yako kwa faida ya kesho
 
Yule ni mtu asiye na msimamo ndio maana walifanikiwa kumrubuni sasa mpango wao umedunda sasa anataka kurudi.
 
Yani post ya kwanza mpaka kumi ni ID za chama.????? Sasa naamini maneno yamzee tupatupa, afanye kukusanya hizo tablets tuu kama vichwa ndo hivyo vya,kutegemewa.

Ni kweli, mzee Tupatupa amesema;
 
Last edited by a moderator:
Nilisema kitambo naendelea kusema kuwa bila zitto hakuna chadema haya sasa motto waja.

Mhishiwa Kigwa, vipi naona jana ulipima kina cha maji ukauona urefu wake.
Yaani wewe ukiwa rais mimi nitakuwa Mungu.
 

Hata Mzee wa Kiraracha alianza hivyo hivyo sasa kilichobaki nikusifia ccm tu utafikiri yeye si Mpinzani



 
Jimbo la Mwandiga halitaki tena ana taka la Kigoma.
 
Anajua hata akigombea hawezi kushinda lipo jembe linaitwa YALED FUBUSA shule kwake imetulia harafu hana njaa na vijisent vya LUMUMBA
 
Atagombea ubunge? Kwa nn asigombee udiwani?
Mbona Dr Masaburi na mwanasheria wake Msando ni madiwani?
 
Zitto ni kigeugeu hana msimamo,mnafiki na mtu anayependa kupata mafanikio ya haraka,na kutafuta umaarufu wa kipuuzi unaoweza kugharimu hata maisha yake ya kisiasa. Alisema,ooh sigombei ubunge,ooh sigombei urais,ooh nataka nifundishe,ooh na sasa nikikosa urais nagombea ubunge kG mjini. Zitto nilkuwa namuona kiongozi bora,kumbe ni mhuni tu katika siasa,hajatulia kama akina Mnyika. Anaona kuacha posho na vijisenti itamcost. Watu maprof wanaacha kufundsha vyuoni na kuingia ktk siasa,yeye na njaa zako kutoka mwandiga huko unasema nini. Siasa ni kama kilevi au bangi kuacha ni ngumu,angalia akina Mrema hadi leo hawataki kutoka kwenye siasa,hajiulizi kwa nini.
Ushauri wangu kwake.
Aendelee tu na ubunge wake,urais hauwezi,asje akajilaumu bure kwa kukosa posho za ubunge kwa miaka 5 bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…