Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Wazo la upofu hiloo!!ukawa washajiunga kuing'oa ccm kwa iyo hakuna mgombea wa chadema mwakani ifahamike yuko wa ukawa tu!!

Mkuu UKAWA si chama hivyo haitakuwa na mgombea. Wagombea watagombea kwa tiketi ya vyama na UKAWA itakuwa inawaunga mkono na siyo ukawa kusimamisha mgombea!

Angalieni msije kuwapotosha wapiga kura wakawa wanatafuta mgombea wa Ukawa wanamkosa ni mwishowe wanaamua kuwapigia wagombea wa CCM.

 
Zito janga la magamba. ..
Magamba walimtumia kama condoms sasa ni janga lao hahaha
 
ukitaka kuwajua watanzania soma uzi huu....uone uone hisia na chuki zinavyoongoza watu
 
Anazuga tu uyo alaf dk za mwisho aje aseme "wananchi wamenisihi sana nigombee" chezea utamu wa mjengoni wewe.
 
Atarudi kugombea na kusema kwamba 'wazee' wamemfuata na kumshauri agombee!
 
Asihame akaingia CCM yatamkuta ya akiba Tambwe,Lamwai na wengine.Angetulia zito angeupata urais tamaa imemponza.Tunataka rais mwadilifu a,ikimaliza kipindi chake tumchangie zawadi za kumuaga kila mkoa.
 


Alisema mwaka 2015, ndio mwaka wa mwisho kujihusisha na siasa ambapo dhamira yake ni kutafuta chuo ambacho ataweza kufundisha masomo ya uchumi na maliasili.

sasa hiyo ACT kamwanzishia nani? au kaona ishabuma.
 
nitakuwa wa kwanza kupingana naye. kama alikuwa anafanya siasa kwa ajili yake yeye kama ZZK, then tunaweza tukamuacha akapumzika kama anavyotaka.
ila nijuavyo mimi,''' alikuwa anafanya kazi ya siasa kwa ajili ya watu''
taifa hili bado linamuhitaji huenda kuliko kipindi chochote tangu uhuru. i will try to face him and say this on his face.
huu si wakati wa kuwasusia akina MINI KABAANG NA MZEE WA KENGEZA.
LABDA ATUAMBIE UAMUZI WAKE NI ANOTHER POLITICAL STRATEGY
 
Mkuu UKAWA si chama hivyo haitakuwa na mgombea. Wagombea watagombea kwa tiketi ya vyama na UKAWA itakuwa inawaunga mkono na siyo ukawa kusimamisha mgombea!

Angalieni msije kuwapotosha wapiga kura wakawa wanatafuta mgombea wa Ukawa wanamkosa ni mwishowe wanaamua kuwapigia wagombea wa CCM.


DUH.. KAKA NA WEWE KWA KUVUJISHA SIRI!!
Wajinga hawa ungewaacha na ujinga wao maana hata hawaelewi haya makubaliano ya vyama yanahusu nini na misingi yake ikoje. umeshaharibu
 
Hahahahahahaha siasa si mchezo-asipo gombea au kupewa ubunge wa viti maalumu nipewe ban jf
 
zitto kaisha kabaki na siasa za facebook na instagram,nahisi saivi anajichukia mwenyw
 
Back
Top Bottom