Wazo la upofu hiloo!!ukawa washajiunga kuing'oa ccm kwa iyo hakuna mgombea wa chadema mwakani ifahamike yuko wa ukawa tu!!
1947...enzi za ujana wetu
Kwani yeye yupo Ukawa?
ukitaka kuwajua watanzania soma uzi huu....uone uone hisia na chuki zinavyoongoza watu
sasa hiyo ACT kamwanzishia nani? au kaona ishabuma.
Alisema mwaka 2015, ndio mwaka wa mwisho kujihusisha na siasa ambapo dhamira yake ni kutafuta chuo ambacho ataweza kufundisha masomo ya uchumi na maliasili.
DUH.. KAKA NA WEWE KWA KUVUJISHA SIRI!!Mkuu UKAWA si chama hivyo haitakuwa na mgombea. Wagombea watagombea kwa tiketi ya vyama na UKAWA itakuwa inawaunga mkono na siyo ukawa kusimamisha mgombea!
Angalieni msije kuwapotosha wapiga kura wakawa wanatafuta mgombea wa Ukawa wanamkosa ni mwishowe wanaamua kuwapigia wagombea wa CCM.
unabisha kwamba zitto sio mnafiq?
zitto kaisha kabaki na siasa za facebook na instagram,nahisi saivi anajichukia mwenyw