Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Nimepitia tovuti ya bunge nakuona Zitto amezaliwa 24 sept 1976. Kikatiba mgombea Urais anatakiwa awe na miaka 40, sasa nawauliza wadau ifikapo oct 30,2015 Zitto hatakuwa na miaka 40? Mimi nilitatanishwa na hili siku ya ijumaa kuu so wadau naomba mawazo yenu ili kama vipi nikamshawishi achukue fomu, maana jamaa anaweza!!

Wewe ukipata ubunge utakuwa wa kulala bungeni tu! Si ajabu ukaanza hata kukoloma
 
Kama ni kugombea tu ana weza ila hana sifa za kuwa rais vinginevyo watanzania tutaachwa kwenye mataa.
Kama alivyo saliti chama kilicho muibua na kumtegeneza!hata huku kwetu CCM huyu jamaa hana tija hata kidogo kwani ilye onja nyama ya binadamu hataacha kuila!my take huyu jamaa anamtegenezea nafasi Bwana mkubwa wake ili vikao vya chama CCM itapokatwa jina la huyo mheshimiwa amkabidhi nafasi!my take this is a very cheap politics wataanguka wote kwa aibu...
 
unaweza kuyaamini makalio ya zzk kwa sababu ni lazima yakalie kitu, kama si jiwe mkeka lakini uwezi kuamini nafsi yake maana kwa siku anadilika mara tatt.
 
Anatafuta mahali pa kutokea tu huyo hana lolote. Tamaa nyingi mbele giza.
 
Nimepitia tovuti ya bunge nakuona Zitto amezaliwa 24 sept 1976. Kikatiba mgombea Urais anatakiwa awe na miaka 40, sasa nawauliza wadau ifikapo oct 30,2015 Zitto hatakuwa na miaka 40? Mimi nilitatanishwa na hili siku ya ijumaa kuu so wadau naomba mawazo yenu ili kama vipi nikamshawishi achukue fomu, maana jamaa anaweza!!

Mkuu kufikia October 30 mda wa kupiga kura atakuwa amefikisha miaka 40 ila sasa hadi kufikia 24 sept atakapokuwa anatimiza miaka 40 mda wa kuchukua form utakuwa umeisha na Kampeni zitakuwa zimeshaanza
 
Zitto hajielewi bna. Japokuwa aliweza kuibua baadhi ya mambo muhimu ktk harakat za kujenga nchi. So mwache asemacho sawa na kuchota maji ya bahari kuweka ktk kisima
 
mtu yeyote anayeamini maneno ya zitti atakuwa kichwani haziko sawa. zitto haaminiki. ni zitto aliyewahi sema hatagombea cheo chochote kupitia act je leo yeye ni nani ndani ya act?
 
Kutogombea ndilo lililokuwa lengo lako? Wewe si ulitaka kugombea uraisi ukiwa chadema wakati ukijua kabisa umri wako haujatosha ? That was not ur plan Mr plan Mr Zito.
 
Nilivyoelewa mie ni kwa ticket ya cdm nahisi vyama vingine atagombea
 
Kwanza mbona haya yanapingana na kilichoelezwa na prof. Kitila Nkumbo pale diamond siku wanazindua chama. Alisema cheo cha Supreme Leader alichopewa zito kinamtaka agombee na ashinde either uraisi au ubunge asipofanya ivo au akishindwa anafukuzwa kazi, alikuwa ananukuru katiba ya ACT. ZZK anajua politic zilizopo vyuoni? Kweenye swala laufundishaji?
 
mbona kuna watu walisema eti katangaza atagombea kigoma mjini au ndio zile siasa za kupakana matope wanazofanya watu flani
 
Back
Top Bottom