Ni wapinzani Gan ambao hawapo kwa ajili ya taifa?
Mbona kwenye esrow aliwaappreaciate kwa kumuunga mkono kwenye jambo nyeti la taifa?
Acheni kutugawa watanzani tena mkome.
Eti fulan mdini tupe ushahid wa udini wake?
Nyie mnalia udini na ukabila ndio mnaofanya watu wa sehemu Fulani kukichukia chama flan kwa maneno yenu yasiokuwa na usyahi.
Ni sahihi kabisa aliongelea chadema.
lakini pia alisema watu wa Geita wanamuomba akagombee huko....alipoenda kunadi chama chake shughuli aliiona
Alisema kuna wabunge zaidi ya 50 kutoka vyama vingine wanaomba kujiunga na ACT lakini mpaka leo siwaoni
Alisema wabunge wote wa upinzani toka kigoma ili wadhinde uchaguzi ujao lazima wajiunge na ACT lasivyo watashindwa...nasubiri uchaguzi ujao nione
Alisema atakuwa wa mwisho kuondoka chadema hapa sijui alimaanisha nini....
JAMAA HAAMINI ANACHOZUNGUMZA NA ANAZUNGUMZA ASICHOAMINI.
Fortunately sasa rangi yake imeonekana.Mtu complex hawezi toa maelezo mepesi kiasi hiki,kwan mbunge hawezi kufundisha???!!!!
Si anakaa Dar jimbo lipo Kigoma sasa atashindwa kuishi Mwanza kwenye vyuo na aendelee huko kanda ya ziwa???!!
If this is true ,he should come out clean!!!!!
Kwa uwezo wake na matumaini ya baadhi ya watu juu yake ni sawa na dereva kugomea safari katikati ya msitu!!!!
Aseme safari ngumu.??????
Gari bovu????!
Uwezo wa kuendesha umeshuka??!!!
Konda na tanboi hawampi ushirikiano safarini???!!!!
Nia ilikuwa sio kufika???!!!
Alitaka tu kuonekana akilitoa basi kituoni????!!!!!
Alitaka kuendesha magari katika kampuni ya kimataifa ila ilikiwa ni lazima aendeshe basi kwanza???
Kweli siasa ni kama upepo wa kaskaz -kusin,leo jamaa anaonekana mbaya!,kipindi flani alionekana shujaa!..
Ila siasa za huyu jamaa kuzielewa ni ngumu sana
Mzee unafukua kabuli.Croatia Apigwa Na Ufaransa 😀