Kama pesa za Tanapa na Ngorongoro wanabeba TRA basi hakuna la kushangaza hapa.Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Mbaya zaidi huku zinapochukuliwa kunazidi kutejetea kwa kushindwa kufanya uendeshaji wake na kupelekea kushindwa kuhudumia nyingi ya huduma za msingi na hivyo hata mapato hayo kushuka kutokana na wekezaji mpya na utoaji mbovu wa huduma.Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Hivi Kuna watu bado wanamsikiliza Zitto?Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba....
Hili lipo wazi.
No way tra can make 2tr.
Meko is trying to fool himself
Zitto kazi kujidai mchumi wala hajui.Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba...
Happy New Year rafikiHakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Mwezi huu december Kuna watalii wengi tena matajiri wakubwa wamekuja Serengeti na Ngorongoro. Pia kwenye hifadhi zesty watalii wengi sana wametembelea katika hizi sikukuu.Kwani TRA kukusanya mapato kwenye hizo mamlaka wameanza mwezi uliopita wa December? kama walikuwa wanakusanya toka miezi iliyotangulia kwanini hayo mapato TRA wakawa hawayatangazi kila mwezi wanavyopenda sifa? ukweli ni kwamba mapato yalishuka.
Hata hiyo sekta ya utalii unayoizungumzia imeathirika sana kwa janga la Corona, hakuna wageni, ni kipi kilichowainua mwezi wa December mpaka mapato yao yaongezeke hivyo?
Happy New Year Mama DHappy New Year rafiki
Zitto angeendelea kuiponya nchi tu aache haya mambo maana tushamjua ni snichZitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba...
[emoji15][emoji15][emoji15]kwaiyo unataka kusema hata mapato ya HESLB, TTCL, NHC, TRA, ATC yamewekwa kwenye ripoti ya TRA?Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Hiki ulichoandika ndio usahihi, kwa kifupi ni kwamba pesa karibu zote zikusanywa na TRA ndio maana mifumo ime'paralyze'Hakuna muujiza wowote ule. Kilichofanyika sasaivi ni hela zote za serikali zinakusanywa na TRA. Kama hadi mamlaka za Ngorongoro na Tanapa na uhamiaji zimenyang’anywa kukusanya mapato ya utalii na imepelekewa TRA hizo figures wala hazishangazi. Tena utalii ukirudi kwenye hali yake tutakuja kutangaziwa imefikia hata trillion 4 na washamba wakashangaa kumbe hizo hela zilikuwepo tangu zamani sema zilikuwa zinaingia serikalini kupitia taasisi nyingine.
Zitto huyu aliyewahadaa Chadema mnamuamini
Mgogoro wa Ethiopia unaendeleaje?