Zitto: Tuliweka mtego tukamrekodi afisa wa TFS Kasulu akipokea rushwa

Zitto: Tuliweka mtego tukamrekodi afisa wa TFS Kasulu akipokea rushwa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Ndg. Zitto kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo akiongea na wananchi wa Kagerankanda, Kasulu vijijini amedai kuwa walimwekea mtego wa rushwa afisa wa Wakala wa Misitu Tanzania

Katika msitu wa Makere Kusini ukiitizama mipaka iliyokuwepo mwaka 1956 na hivi sasa pori la akiba limeingia kwenye maeneo ya Wananchi. Wananchi wamekosa maeneo ya kufanya shughuli zao za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji na urinaji wa asali. Kutokana na hali hii wananchi wamekuwa wakipigwa na kuumizwa na askari wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) ikiwemo kuporwa mazao yao.

Nimemshauri Waziri wa Maliasili na Utalii kuchukua hatua mara moja dhidi ya Mkuu wa TFS (Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania) Kasulu na maafisa wengine wote. Vyombo vya uchunguzi wa jinai vichukue hatua dhidi ya wezi hawa, wafikishwe mahakamani.
 
Ss c apelekee ushahidi panapotakiwa Ili muhusika afikishe panapostaili ..
Zitto na ccm n wale wale tu hkn afadhalii
 
Aanze yeye huyo zitto kujipeleka mahakamani Kwa kupokea vipande vya kwacha kuiuza chadema ndo tutamwamini vinginevyo amwache mwenzake ale keki ya taifa kulingana na Ilani ya mama ule Ila usivembewe,.
 
Ndg. Zitto kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo akiongea na wananchi wa Kagerankanda, Kasulu vijijini amedai kuwa walimwekea mtego wa rushwa afisa wa Wakala wa Misitu Tanzania

Katika msitu wa Makere Kusini ukiitizama mipaka iliyokuwepo mwaka 1956 na hivi sasa pori la akiba limeingia kwenye maeneo ya Wananchi. Wananchi wamekosa maeneo ya kufanya shughuli zao za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji na urinaji wa asali. Kutokana na hali hii wananchi wamekuwa wakipigwa na kuumizwa na askari wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) ikiwemo kuporwa mazao yao.

Nimemshauri Waziri wa Maliasili na Utalii kuchukua hatua mara moja dhidi ya Mkuu wa TFS (Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania) Kasulu na maafisa wengine wote. Vyombo vya uchunguzi wa jinai vichukue hatua dhidi ya wezi hawa, wafikishwe mahakamani.
Rushwa ni utamaduni wa Serikali na tawala za nchi za Afrika, kipi cha ajabu hapo???
 
Aanze yeye huyo zitto kujipeleka mahakamani Kwa kupokea vipande vya kwacha kuiuza chadema ndo tutamwamini vinginevyo amwache mwenzake ale keki ya taifa kulingana na Ilani ya mama ule Ila usivembewe,.
Tumpeleke na mbowe mahakamani kwa kumuuzia Chama lowasa
 
Aanze yeye huyo zitto kujipeleka mahakamani Kwa kupokea vipande vya kwacha kuiuza chadema ndo tutamwamini vinginevyo amwache mwenzake ale keki ya taifa kulingana na Ilani ya mama ule Ila usivembewe,.
Tumpeleke na mbowe mahakamani kwa kumuuzia C
Hajui kuwa nasi twafahamu kuwa anapewa rushwa na ccm?
Mbona hata Mbowe anapewa rushwa na ccm? au hujui?
 
Hivi na yeye kama wahuni wangeamua kumtega; Mbona kitambo sana angekuwa amenasa kwenye mitego isiyo hata na idadi!!
 
Back
Top Bottom