Zitto zuber kabwe na chama chake ndie pekee ameonyesha ana hoja za msingi!! Wengine ni visirani na makelele TU !

Zitto zuber kabwe na chama chake ndie pekee ameonyesha ana hoja za msingi!! Wengine ni visirani na makelele TU !

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Tumeona uzinduzi wa kampeni za vyama pendwa vya siasa! Chadema wameanza ,wakaja cuf na kumalizia na act wazalendo!! Nilichojifunza ni kwamba act wazalendo wanakaa chini na kuandaa hotuba zao !! Utaona kuanzia msemaji wa kwanza mpaka wa mwisho hoja zao zimepangiliwa na zinaeleweka sana ! Zinagusa wananchi na zinatoa malalamiko na ufumbuzi wa Nini kifanyike!! Chadema wanaonekana hawana muda wa kukaa na kupangilia hotuba Kila mtu ana panda jukwaani na hotuba yake kichwani !! Hawana lengo wanalopigania HASWAA!! Wengi wakisimama wanaongelea matukio na uongozi wa magufuli kana kwamba anawasikia au Bado Yuko hai !! Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyeiva HASWAA !! Hana haraka na mambo na hakurupuki bila tafakuri na huwezi kumkuta amelewa akiwa anahutubia!! Viva zitto kabwe !! Viva act wazalendo!
 
Tumeona uzinduzi wa kampeni za vyama pendwa vya siasa! Chadema wameanza ,wakaja cuf na kumalizia na act wazalendo!! Nilichojifunza ni kwamba act wazalendo wanakaa chini na kuandaa hotuba zao !! Utaona kuanzia msemaji wa kwanza mpaka wa mwisho hoja zao zimepangiliwa na zinaeleweka sana ! Zinagusa wananchi na zinatoa malalamiko na ufumbuzi wa Nini kifanyike!! Chadema wanaonekana hawana muda wa kukaa na kupangilia hotuba Kila mtu ana panda jukwaani na hotuba yake kichwani !! Hawana lengo wanalopigania HASWAA!! Wengi wakisimama wanaongelea matukio na uongozi wa magufuli kana kwamba anawasikia au Bado Yuko hai !! Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyeiva HASWAA !! Hana haraka na mambo na hakurupuki bila tafakuri na huwezi kumkuta amelewa akiwa anahutubia!! Viva zitto kabwe !! Viva act wazalendo!
Hoja za msingi ndio hizi za kudanganya kuwa ndege hazifanyi kazi wakati zipo hewani zinaelekea kigoma

Zito bado ni kizazi cha siasa za unafki ,Udini ,ukabila na matumbo

USSR
 
Tumeona uzinduzi wa kampeni za vyama pendwa vya siasa! Chadema wameanza ,wakaja cuf na kumalizia na act wazalendo!! Nilichojifunza ni kwamba act wazalendo wanakaa chini na kuandaa hotuba zao !! Utaona kuanzia msemaji wa kwanza mpaka wa mwisho hoja zao zimepangiliwa na zinaeleweka sana ! Zinagusa wananchi na zinatoa malalamiko na ufumbuzi wa Nini kifanyike!! Chadema wanaonekana hawana muda wa kukaa na kupangilia hotuba Kila mtu ana panda jukwaani na hotuba yake kichwani !! Hawana lengo wanalopigania HASWAA!! Wengi wakisimama wanaongelea matukio na uongozi wa magufuli kana kwamba anawasikia au Bado Yuko hai !! Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyeiva HASWAA !! Hana haraka na mambo na hakurupuki bila tafakuri na huwezi kumkuta amelewa akiwa anahutubia!! Viva zitto kabwe !! Viva act wazalendo!
Zito huyu huyu kibaraka au mwingine?
 
Tumeona uzinduzi wa kampeni za vyama pendwa vya siasa! Chadema wameanza ,wakaja cuf na kumalizia na act wazalendo!! Nilichojifunza ni kwamba act wazalendo wanakaa chini na kuandaa hotuba zao !! Utaona kuanzia msemaji wa kwanza mpaka wa mwisho hoja zao zimepangiliwa na zinaeleweka sana ! Zinagusa wananchi na zinatoa malalamiko na ufumbuzi wa Nini kifanyike!! Chadema wanaonekana hawana muda wa kukaa na kupangilia hotuba Kila mtu ana panda jukwaani na hotuba yake kichwani !! Hawana lengo wanalopigania HASWAA!! Wengi wakisimama wanaongelea matukio na uongozi wa magufuli kana kwamba anawasikia au Bado Yuko hai !! Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyeiva HASWAA !! Hana haraka na mambo na hakurupuki bila tafakuri na huwezi kumkuta amelewa akiwa anahutubia!! Viva zitto kabwe !! Viva act wazalendo!
Ila wabongo sometimes cjui ni bange au kangara 🤣🤣🤣🤣🤣!! Mwishon mwa hoja yako ndipo nikagundua huna hoja zaid ya chuki za kiitikadi. Punguza unywaji wa kangara!!
 
Hoja za msingi ndio hizi za kudanganya kuwa ndege hazifanyi kazi wakati zipo hewani zinaelekea kigoma

Zito bado ni kizazi cha siasa za unafki ,Udini ,ukabila na matumbo

USSR
Kama wewe ulivyo na siasa zako za kitwana wanasiasa wengine wawe elfu Moja ndio zitto mmoja
 
Ila wabongo sometimes cjui ni bange au kangara 🤣🤣🤣🤣🤣!! Mwishon mwa hoja yako ndipo nikagundua huna hoja zaid ya chuki za kiitikadi. Punguza unywaji wa kangara!!
Ila la mwisho ndio la muhimu kwa sababu tayari limekuingia
 
Ni hoja gani hizo ?;

By the way actions speaks louder...., Na sarakasi zilizoonyeshwa recently ungeambiwa Zitto ni Kiongozi wa Propaganda za awamu ya Sita wala usingeweza kubisha
 
Hoja za msingi ndio hizi za kudanganya kuwa ndege hazifanyi kazi wakati zipo hewani zinaelekea kigoma

Zito bado ni kizazi cha siasa za unafki ,Udini ,ukabila na matumbo

USSR
BORA UMEMJIBU HUYO MJINGA
 
Tumeona uzinduzi wa kampeni za vyama pendwa vya siasa! Chadema wameanza ,wakaja cuf na kumalizia na act wazalendo!! Nilichojifunza ni kwamba act wazalendo wanakaa chini na kuandaa hotuba zao !! Utaona kuanzia msemaji wa kwanza mpaka wa mwisho hoja zao zimepangiliwa na zinaeleweka sana ! Zinagusa wananchi na zinatoa malalamiko na ufumbuzi wa Nini kifanyike!! Chadema wanaonekana hawana muda wa kukaa na kupangilia hotuba Kila mtu ana panda jukwaani na hotuba yake kichwani !! Hawana lengo wanalopigania HASWAA!! Wengi wakisimama wanaongelea matukio na uongozi wa magufuli kana kwamba anawasikia au Bado Yuko hai !! Zitto kabwe ni mwanasiasa aliyeiva HASWAA !! Hana haraka na mambo na hakurupuki bila tafakuri na huwezi kumkuta amelewa akiwa anahutubia!! Viva zitto kabwe !! Viva act wazalendo!
ZZK akiacha kuwa Sycophant, Hypocrite and Opportunist naweza kuanza Kufikiria niwe napoteza muda wangu adhimu Kumfuatilia na Kumsikiliza.
 
Zitto sio kibaraka ,,kibaraka ni lissu anaishi ubelgiji anagombea tanzania
Zitto ni kibaraka namba moja. Hata CDM alifukuzwa kwa hilo. Na kwa ukibaraka wake alipata mapesa mengi sana. Ilipokuja awamu ya tano ZZK akaambiwa hakuna ajira ya ukibaraka. Hakuamini akawa mbogo kiliko wa porini. Kamzulia mengi mno kiongozi wa awamu ya 5. Sasa hii awamu ya 6 anajipendekeza ili ile postion ya ukibaraka aliyokuwa nayo awamu ya 4 aipate. Kapewa masharti inaonekana anayatekeleza. Naona ZZK aweza kifurukuta
 
Zitto ni kibaraka namba moja. Hata CDM alifukuzwa kwa hilo. Na kwa ukibaraka wake alipata mapesa mengi sana. Ilipokuja awamu ya tano ZZK akaambiwa hakuna ajira ya ukibaraka. Hakuamini akawa mbogo kiliko wa porini. Kamzulia mengi mno kiongozi wa awamu ya 5. Sasa hii awamu ya 6 anajipendekeza ili ile postion ya ukibaraka aliyokuwa nayo awamu ya 4 aipate. Kapewa masharti inaonekana anayatekeleza. Naona ZZK aweza kifurukuta
Tunajua wewe upo hapa kwa maslahi ya chadema mbovu kwa hiyo huwezi kuelewa chochote mbowe ndio msaliti namba moja
 
Tunajua wewe upo hapa kwa maslahi ya chadema mbovu kwa hiyo huwezi kuelewa chochote mbowe ndio msaliti namba moja

Mbowe anaweza kuwa msaliti kweli japo sina uhakika. Lakini msaliti namba wani ni ZZK. Na ameanza mbali. Waulize waliosoma naye UDSM akiwa makamu w rais wa serikali ya wanafunzi utaelewa ZZK maana yake ni usaliti. Haina shaka yeye ZZK ni brilliant guy lakini kutumia utalamu wake kusaliti wenziwe ni super
 
Back
Top Bottom