Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Una uhakika yuko anakula?Sio desturi nzuri kuzungumza wakati mpo mezani mnakula...Aki paliwa je?
DP World sio wajinga. Washajiandaa mapema kabisa. Mbwa KaliwaUna uhakika yuko anakula?
Kwaio unahisi yupo kwenye mfungo?Una uhakika yuko anakula?
Kaenda HijjaKwaio unahisi yupo kwenye mfungo?
Sidhani....mbona alimkosoa JkZZK ni mdini haswaa 🤣🤣🤣, hawezi kumkosoa mama.
😆😆😆DP World sio wajinga. Washajiandaa mapema kabisa. Mbwa Kaliwa
MmhYuko Chato anatubu!
Kuna kanisa?Yuko Chato anatubu!
Anatubu " Pembeni yake"Kuna kanisa?
Kwa JK alikuwa anauma na kupuliza. Alikuwa anafanya kazi ya ziada ya kuhujumu CDM akiwa ndani ya chama.Sidhani....mbona alimkosoa Jk
Alishavuta mgao wake akasema ardhi haihami kama madini, yaani yeye hataki tena sababu hadai chochoteNimeshangzwa na ukimya wa hali.ya juu wa Mh Zuber Zitto Kabwe mtu aliyesifika kupambani haki za Watanzania kwa ujumla wao.
Walioko karibu na huyu Kiongozi wa ACT wazalendo watujulishe.
Huko aliko yuko salama?
DP world!
Yule usaliti hajaanza leoKwa JK alikuwa anauma na kupuliza. Alikuwa anafanya kazi ya ziada ya kuhujumu CDM akiwa ndani ya chama.
CDM ilikuwa na intelijensia kali sana, walinasa kila kitu, vikao vyake vyote ma mkurugenzi mkuu na usalama wa taifa wa wakati ule, mpaka pesa aliyolipwa ilikopita.
😆😆😆Alishavuta mpunga wa ddwAlishavuta mgao wake akasema ardhi haihami kama madini, yaani yeye hataki tena sababu hadai chochote