Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Duuh aisee jamaa alikuwa hatari sanaKwa JK alikuwa anauma na kupuliza. Alikuwa anafanya kazi ya ziada ya kuhujumu CDM akiwa ndani ya chama.
CDM ilikuwa na intelijensia kali sana, walinasa kila kitu, vikao vyake vyote ma mkurugenzi mkuu na usalama wa taifa wa wakati ule, mpaka pesa aliyolipwa ilikopita.