Ziwa Kivu kusitisha huduma

Ziwa Kivu kusitisha huduma

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Msemaji mkuu wa kisiasi Lawrence Kanyuka, ameutangazia umma kuwa ziwa Kivu kwa sasa halitumiki. Hivyo kuomba jeshi la serikali na SAMIDRC kukabidhi siraha zote kwa wanajeshi wa Umoja wa mataifa, na kukusanyika uwanja wa mpria uliyopo karibu hapo
 
Msemaji mkuu wa kisiasi Lawrence Kanyuka, ameutangazia umma kuwa ziwa Kivu kwa sasa halitumiki. Hivyo kuomba jeshi la serikali na SAMIDRC kukabidhi siraha zote kwa wanajeshi wa Umoja wa mataifa, na kukusanyika uwanja wa mpria uliyopo karibu hapo
Haujaeleweka umeongelea kitu gani na ulimaanisha nini jasa fafanua zaidi.
 
Msemaji mkuu wa kisiasi Lawrence Kanyuka, ameutangazia umma kuwa ziwa Kivu kwa sasa halitumiki. Hivyo kuomba jeshi la serikali na SAMIDRC kukabidhi siraha zote kwa wanajeshi wa Umoja wa mataifa, na kukusanyika uwanja wa mpria uliyopo karibu hapo
Jwtz already deployed, wanajeshi awiiiiiiiiii, this time Kagame amejichanganya
 
M23 waungane na jeshi halafu waende Kinshasa kumtoa Tishekedi.
 
Waziri haendi vitani
Haendi vitani lakini inapaswa awe ana ABCD za masuala ya kiusalama hata basics tu, mtu mwenyewe binocular tu hajui kutumia, huyo atatoa ushauri gani hata kwenye masuala ya kiusalama.. nini maana ya kuchaguliwa kuwa waziri wa ulinzi?

Angalia kama secretary of defense wa US huyo jamaa Pete Hegseth aliyechaguliwa na Trump, jamaa ni veteran na alishafikia cheo cha major, amepigana vita Iraq na Afghanistan, jamaa ana medali za kijeshi mbali mbali.

Hata kocha wa mpira haingii kucheza lakini lazima awe anauelewa mpira vyema.
 
Jwtz already deployed, wanajeshi awiiiiiiiiii, this time Kagame amejichanganya
Ok, waache waende. Kwamba raisi ni mjinga? Kwamba mkuu wa majeshi hajui kinachoendelea? Vita sio mihemuko. Kwa taarifa yako, FARDC na watu wake silaha wameshakabidhi kwa MONUSCO na kuelekea uwanjani walipoamliwa na M23 kuwafuata wenyewe. Upo? Goma ipo mikononi mwa M23. Haya,twambie. Hao JWTZ wanawnda kufanya nini!? Wanapita wapi?
 
Daah aisee safari hii hao M 23 wana nguvu sana kupita kipindi chochote maana wameuawa karibu wanajeshi 13 wa kigeni huko Goma inaonekana wamejipanga sana ila bado samiti kama majeshi ya kigeni yakatumia nguvu zaidi watashindwa hapana..
 
K
Haendi vitani lakini inapaswa awe ana ABCD za masuala ya kiusalama hata basics tu, mtu mwenyewe binocular tu hajui kutumia, huyo atatoa ushauri gani hata kwenye masuala ya kiusalama.. nini maana ya kuchaguliwa kuwa waziri wa ulinzi?

Angalia kama secretary of defense wa US huyo jamaa Pete Hegseth aliyechaguliwa na Trump, jamaa ni veteran na alishafikia cheo cha major, amepigana vita Iraq na Afghanistan, jamaa ana medali za kijeshi mbali mbali.

Hata kocha wa mpira haingii kucheza lakini lazima awe anauelewa mpira vyema.
wanza kwa muundo tu wa wizara ya ulinzi wakuu wa vyombo wanalipoti direct kwa commander in chief au rais waziri ni cheo tu cha kisiasa anaenda kusoma magazeti wizarani au kufanya uzinduzi wa mambo mbalimbali basi hilo tu.
 
Msemaji mkuu wa kisiasi Lawrence Kanyuka, ameutangazia umma kuwa ziwa Kivu kwa sasa halitumiki. Hivyo kuomba jeshi la serikali na SAMIDRC kukabidhi siraha zote kwa wanajeshi wa Umoja wa mataifa, na kukusanyika uwanja wa mpria uliyopo karibu hapo
Nimebaki njiapanda
 
Nimebaki njiapanda
Baada ya kufunga anga, jeshi la Congo lilibaki na njia tu ya maji. Kumbuka liliombwa kujisalimosha ndani ya masaa 48. Halikutekeleza. Ndipo M23 ikafunga njia ya maji, na kulivaa jiji. Taarifa zilizokuwepo ni kwamba hata kabla ya hayo masaa, tayari ilikuwa mjini, ndipo Monusco ikaamua tu itoe watu wake.

Baada ya kuona wamezingilwa bila utani na njia pekee iliyobaki, jeshi la DRC likapelea siraha kwa MONUSCO. Wanajeshi waliambiwa tatizo lipo kati ya M23 na serikali, siyo jeshi. Hivyo, wakiweka siraha chini, wamehakikishiwa usalama wao. Japo wachache wale makomando wa DRC, wamejaribu kuendeleza mapigano, lakini haikuzaa matunda. Movie ikawa ndo imeisha hivyo Kivu kaskazini. Inaelekea vita vinahamia Kivu kusini sasa. Stay tuned.
 
Baada ya kufunga anga, jeshi la Congo lilibaki na njia tu ya maji. Kumbuka liliombwa kujisalimosha ndani ya masaa 48. Halikutekeleza. Ndipo M23 ikafunga njia ya maji, na kulivaa jiji. Taarifa zilizokuwepo ni kwamba hata kabla ya hayo masaa, tayari ilikuwa mjini, ndipo Monusco ikaamua tu itoe watu wake.

Baada ya kuona wamezingilwa bila utani na njia pekee iliyobaki, jeshi la DRC likapelea siraha kwa MONUSCO. Wanajeshi waliambiwa tatizo lipo kati ya M23 na serikali, siyo jeshi. Hivyo, wakiweka siraha chini, wamehakikishiwa usalama wao. Japo wachache wale makomando wa DRC, wamejaribu kuendeleza mapigano, lakini haikuzaa matunda. Movie ikawa ndo imeisha hivyo Kivu kaskazini. Inaelekea vita vinahamia Kivu kusini sasa. Stay tuned.
 
Back
Top Bottom