Naona amekosea sana tena huyu Perez sijui kama atakuwa na maisha Marefu.Ila hata hvyo mkataba ni mpaka mwisho wa msimu.Zizou amefeli sana kukubali kurudi Madrid kwa mara ya pili.
Atafukuzwa msimu ujao unless labda kaitwa kujenga timu na sio kushindania ubingwa.
This time anakwenda kwa terms zake. Salary, recruitment of players anaowataka na decision making on who should be sold etc. Ngoja tuone kama President atakubali kiroho safi kuachia some of the powers
Kwahiyo mzee ameufyata mwenyewe??Sasa pengo aliloliacha Cristiano nalo linazibwaje! !
Kwahiyo mzee ameufyata mwenyewe??Sasa pengo aliloliacha Cristiano nalo linazibwaje! !
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanikera sana kaonyesha udhaifu labda vile hatujui kilicho muondoa na kinacho mrudishaZizou amefeli sana kukubali kurudi Madrid kwa mara ya pili.
Atafukuzwa msimu ujao unless labda kaitwa kujenga timu na sio kushindania ubingwa.
This time anakwenda kwa terms zake. Salary, recruitment of players anaowataka na decision making on who should be sold etc. Ngoja tuone kama President atakubali kiroho safi kuachia some of the powers
Chelsea haina pressure??? Au umeongea kishabiki?Dah Zidane amezingua kwakweli, Clubs nyingi Sana kubwa zilikua zinamtaka Ikiwemo Chelsea angejipa muda kidg tu angelamba shavu sehemu nzuri isiyo na presha km kwa Perez
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahakika zidane ana njaaView attachment 1043267
Njaa mbaya sana ! huyu safari hii ni lazima adhalilike sana