Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jamaa kila timu aliyopitia alibeba kombe tena timu nyingi, nahisi ana rekodi ya kipekee kwa hilo hakuna mwingine mwenye sifa hizouse unasomaga sasa facts![]()
Msameheni bure siunajua watoto wa sekondari wamejaa ubashite tu....atuache na zlatan huyo huyo ndo anatupeleka uefa next seasonMkuu hata kama humpendi zlatan kwa kiwango gan ila kitendo cha kumfananisha uwezo wa zlatan na Giroud inadhihirisha either una chuki binafsi ama hufahamu historia ya zlatan mpaka hatua aliyopo sasa. Sometimes hata kama uko timu pinzan haimaanishi usiwakubali wachezaji wenye uwezo wa timu zingine. Kwa mf, mm ni shabiki wa man utd ila natambua na kukubali uwezo wa juu wa wachezaji wa timu zingine kama Ronaldo, Messi, Neymar, Suarez, Sanchez, coutinho, hazard, grezman na wengine kibao. Kwa hiyo acha chuki binafsi kwa mchezaj ama timu fulan
Zlatan karudi sasa! Lukaku wako atatusubiriAna uwezo wa kawaida mno na hana tofauti na Olivier Giroud sema tu kwasasa anazungumzwa sana kwa kuwa yupo timu ya wapayukaji duniani, jiulizeni kwanini alichemsha vibaya akiwa Barcelona? Akaenda kung'aa kwenye ligi ya Ufaransa ambayo ni sawa na ligi ya timu moja au ligi ya mchangani. kwa kifupi zlatan anapewa sifa zisizostahili.
mimi ni mshabiki pure wa ARSENAL..lakini bila kinyongo nakiri..ZLATAN IBRAMOVIC ni mnyama mwingine..wala ARSENAL haina mtu wa kumfananisha nae...huyu jamaa namfuatilia miaka mingi sana..nimelisikia jina lake tokea miaka.hio mpaka leo ni mkali..BARCELONA alishindwa kwa sababu makocha wengi wa BARCELONA ni MUNGU mtu..wanapenda kunyenyekewa wakati zlatani hajui kumnyenyekea mtu..yeye anaamini anajua..umpange usimpange ni juuu yako...sio kama wale wanaompigia kocha.magoti wakitaka.kupangwa
Yaani unamfananisha na gaucho halafu bado unamuona hana lolote?Alimkimbia Messi baada ya kujiona koko
Zlatan namfananisha na gaucho