Zlatan Ibrahimovic: Man United inaweza kupigwa Barcelona ya wanawake wenye mimba

Zlatan Ibrahimovic: Man United inaweza kupigwa Barcelona ya wanawake wenye mimba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kama mashabiki was man United tunaichukuliaje kauli ya mkali ibrahimmovic kuwa

"Timu ya wanawake ya Barcelona hata wakiwa na mimba wanaweza kuifunga timu ya wanaume ya MAN UNITED
Je unaiamini kauli hii
FB_IMG_16491412804226657.jpg


Screenshot_20220405-094756.jpg
 
Huu uzi mbona watu waufungua, wanasoma tu kupita kimya kimya! Kulikoni?

Anyway, mimi ni shabiki wa Yanga na pia Chelsea. Hivyo nimekuja tu kusafisha njia kwa mashabiki wa hiyo timu yenu inayoweza kufungwa na timu ya wanawake wajawazito. 🤰
 
Huu uzi mbona watu waufungua, wanasoma tu kupita kimya kimya! Kulikoni?

Anyway, mimi ni shabiki wa Yanga na pia Chelsea. Hivyo nimekuja tu kusafisha njia kwa mashabiki wa hiyo timu yenu inayoweza kufungwa na timu ya wanawake wajawazito. [emoji1768]
Itakuwa ....wanaopita kimya ni man u hawa
 
Tuko vitani Ukraine, hatuna muda na kauli za kishoga
 
Hayo ni mawazo yake.kila binadamu anaweza kuongea jambo lolote lile ambalo haliwezi kua na uhalisia.sasa itakua ni kupoteza muda kujibu mawazo ya mtu ya namna hiyo.
 
Back
Top Bottom