DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Salam sio lazima!
Ndugu wanabodi,
Mimi naomba kufahamishwa ni kwa namna gani nyama za kujazia eneo husika zinavyopatikana, yaani zinatolewa wapi kuja kuboresha uumbaji wa eneo la makalio, au yanaumuliwa kama maandazi yaliyowekewa hamira na kuongezeka size kwa kutumia hamira maalum,nisaidieni kujua wataalam.
Karibuni mliofanikiwa kwenda Uturuki, China, Mloganzila na kwingineko Duniani.
Ndugu wanabodi,
Mimi naomba kufahamishwa ni kwa namna gani nyama za kujazia eneo husika zinavyopatikana, yaani zinatolewa wapi kuja kuboresha uumbaji wa eneo la makalio, au yanaumuliwa kama maandazi yaliyowekewa hamira na kuongezeka size kwa kutumia hamira maalum,nisaidieni kujua wataalam.
Karibuni mliofanikiwa kwenda Uturuki, China, Mloganzila na kwingineko Duniani.