Zoezi la kuwaondoa machinga liwe la kudumu, 2030 tusiwaone tena barabarani

Zoezi la kuwaondoa machinga liwe la kudumu, 2030 tusiwaone tena barabarani

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wadau nawasabahi,

Tunaziomba mamlaka zote zinazohusika na zoezi la kuwaondoa machinga kuwa zoezi hili liwe la kudumu kwani mazoezi kama haya huwa ya nguvu ya soda kutokana na kufanyika kisiasa zaidi unaweza kukuta 2030 wanaruhusiwa kufanya biashara zao hata ndani ya viwanja vya ndege.

Muhimu machinga wapatiwe maeneo mbadala yenye huduma zote muhimu.
 
ccm waovyo sana..ndo huwa wanaketa mambo haya
 
Ccm hao na masifa zao zinaniboa sanaa ukatili huu alafu ile ishu ya kadi haina faida tena?
 
Back
Top Bottom