binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nasikia wameongeza siku.Eti!! Mie nasubiri nione watafanya nini, foleni sipangi kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia wameongeza siku.Eti!! Mie nasubiri nione watafanya nini, foleni sipangi kwakweli.
Sie wahenga hatukuwa na shida tulikuwa tunapeana zamu kama lindoNani atakuwa anakusogezea ukiwa wewe haupo?
Hapo nakubali, ila kwa sasa Gen Z imepinda ingawa haitaki kupinda kudai haki ya Kimageuzi kama majirani[emoji2][emoji2]Sie wahenga hatukuwa na shida tulikuwa tunapeana zamu kama lindo
Hili lingefanyika online hakuna usumbufuZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Hutu tu benk ni usumbufu sana hakuna cha maanaHivi tunahakiki nini kwani? Kupotezeana muda tu
Hata sikumbuki aisee😄Kwani kufungua Akaunti mpya wakati nahitaji Akaunti ya NMB itagharimu nini?