Hakuna uokoaji hapo, bali jamaa ndio asepa nalo hivyo
hahaa sasa hilo skrepa keshaliharibu analipeleka wapi? uswazi kutamu sana, napafeel.
Dah nilikuwa cjamuona, tena hata haangalii pembeni. Cdhani kama mwenye kibanda alipewa hizo bidhaa. Manake hakuwepo kwenye tukio. Kweli kufa kufaana.Naona mdada kabeba dawa za mbu:teeth:
Naona mdada kabeba dawa za mbu:teeth:
mmefanana kweli! sio wewe yule?