Zoezi la uokoaji uswahilini lageuka uaharibifu...

Zoezi la uokoaji uswahilini lageuka uaharibifu...

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
198
Kuna haja ya serikali au hata sisi vijana kupeana mafunzo jinsi ya uokoaji pindi ajali ya moto inapotokea. Mara nyingi watu huitikia mwito wa kuokoa vitu kwenye ajali ya moto lakini kwa kukosa kautaalam unakuta vitu vinaburuzwa na kuharibika kabisa.





Chanzo cha moto ni hitilafu ya umeme.


Majirani wakijaribu kuokoa friji ambalo jamaa alikuwa akiliburuza kinoma noma hatimaye ikawa sio tena uokoaji bali uharibifu wa mali.

Thanx DJ CHOKA.​
 
Hakuna uokoaji hapo, bali jamaa ndio asepa nalo hivyo
 
Kwenye ajali kama hizo ukishaokoa watoto wako, mama yao na wewe mwenyewe unashukuru Mungu! Kinachofuata labda mkoba wako wenye docs za muhimu basi, hayo mengine unapotezeya! Friji lenyewe mtumba uliochoka!
 
Naona mdada kabeba dawa za mbu:teeth:
Dah nilikuwa cjamuona, tena hata haangalii pembeni. Cdhani kama mwenye kibanda alipewa hizo bidhaa. Manake hakuwepo kwenye tukio. Kweli kufa kufaana.
 
Nchi inayotawaliwa bila ya kuwa na serikali utakuta hata utaratibu wa maisha ya watu wake yako shaghla baghla to. Huko kunakoitwa uswazi ni sehemu ya Tanzania lakini hapapitiki. Na kunapotokea moto kama huu basi gari la zimamoto haliwezi kufika na hivyo moto unaweza kuendelea kusambaa hata maeneo ambayo yasingepaswa kuungua.
 
Back
Top Bottom