jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Haramu huwa hazisajiriwi..Nina nguruwe sungura na simbilisi, nao je?
Sio bure kuna kulipia hayo mahereni..hatari tupu.Usajili ni bure au ni bei gani kwa ng'ombe mmoja? Na wanasajili wapi? Au faini ndiyo jambo lililowekwa mbele kuliko elimu ya jambo lenyewe!!
Lakini pia ufugaji upo kwenye mazingira magumu sana kuanzia maji, dawa na hata malisho si jambo dogo, hao wanaotaka tozo tungependa kujua wanasaidia lipi katika haya.
Haramu kwako halali kwangu, kadhalika halali kwako haramu kwangu.Haramu huwa hazisajiriwi..
#MaendeleoHayanaChama